• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kusajili kikundi cha sanaa


TARATIBU ZA KUFUATA ILI KUSAJILI KIKUNDI CHA SANAA


1. KIKUNDI KIWE NA KATIBA NA MUHTASARI WA KIKUNDI CHAO.

2. KUIPELEKA OFISI YA UTAMADUNI YA WILAYA KWA UKAGUZI.

3. KUCHUKUA FOMU YA USAJILI OFISI YA UTAMADUNI WILAYA

4. KIKUNDI KINAANDAA MALIPO YA KIASI CHA SHILINGI ELFU SABINI NA

TANO(75000) AMBAPO ASILIMIA 25 INALIPWA HALMASHAURI SAWA NA

18750 NA ASILIMIA 75 INALIPWA BASATA SAWA NA 56250.


KUJISALI MTU BINAFSI


1. ANDAA ANDIKO LA KWANINI UNATAKA KUANZA KAZI HUSIKA YA

SANAA.

2. KUIPELEKA OFISI YA UTAMADUNI YA WILAYA KWA UKAGUZI.

3. KUCHUKUA FOMU YA USAJILI OFISI YA UTAMADUNI WILAYA

4. KUANDAA MALIPO YA KIASI CHA SHILINGI ELFU SABINI NA TANO

(75000) AMBAPONASILIMIA 25 INALIPWA HALMASHAURI SAWA NA

18750 NA ASILIMIA 75 INALIPWA BASATA SAWA NA 56250.


KUSAJILI STUDIO


1. ANDIKA KATIBA NAKALA TATU

2. WASIFU WA MSIMAMIZI WA STUDIO HUSIKA.

3. TIN NAMBA.

4. CHUKUA FOMU YA USAJILI OFISI YA UTAMADUNI WILAYA AU

PAKUA KWENYE MTANDAO.

5. GHARAMA ZA USAJILI NI 250,000 AMBAPO ASILIMIA 25 INAENDA

HALMASHAURI NA 75 INAENDA BASATA.


KUFANYA MALIPO YA USAJILI.


1. KWENDA KWA MHASIBU KUCHUKUA KIBALI CHA KULIPIA BENKI.

2. KURUDISHA HATI YA MALIPO KWA MHASIBU TENA KWAAJILI YA KUPATA

RISITI YA MALIPO YA ASILIMIA 25.

3. KWENDA NA RISITI BARAZA KUMALIZIA USAJILI.

Tangazo

  • Tangazo la Kuitwa Kazini June 15, 2018
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI HANDENI VIJIJINI 2021 December 17, 2020
  • Kuitwa Kwenye Usaili June 04 2018 May 30, 2018
  • Matokeo ya Darasa la Saba Shule ya kwanza hadi ya mwisho December 28, 2018
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mkurugenzi azindua kiwanda cha kufyatulia matofali.

    March 17, 2021
  • Makamu wa Rais afanya ziara Handeni.

    March 16, 2021
  • Mkurugenzi Mtendaji awapongeza wanawake kwenye Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.

    March 08, 2021
  • Kamati ya Fedha, Uchumi na Mipango yafanya ziara ya kukagua miradi inayotekelezwa na Halmashauri.

    February 10, 2021
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bomani Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile: 0755651840

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa