• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Maendeleo ya jamii,Ustawi jamii na Vijana.

 MAJUKUMU YA IDARA


Maendeleo ya Jamii

1.Kushirikisha jamii katika kubaini, kubuni, kupanga, kutekeleza na kufuatilia miradi mbalimbali ya Maendeleo.

2.Kuongoza na kusimamia utekelezaji wa mipango/miradi ya Maendeleo.

3.Kufanya utafiti na kutoa mapendekezo ya namna ya kukabiliana na changamoto mbalimbali za maendeleo kwa kushirikiana na watumishi wa sekta nyingine.

4.Kuelimisha viongozi wa Serikali katika ngazi mbalimbali na viongozi wa dini na mashirika yasiyo ya kiserikali kuhusu Sera mbali mbali za Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto.

5.Kuelimisha na kuhamasisha jamii kupambana na VVU na UKIMWI.

6.Kueneza elimu ya Uraia mwema.

7.Kufanya uchambuzi wa matatizo ya jamii na kutoa ushauri wa kitaalamu kwa ngazi zingine.

8.Kuvisaidia vikundi maalum (vya ushirika, vikundi vya kijamii, vya kidini, n.k.) kuandaa miradi na kuwaelekeza namna ya kupata mitaji.

9.Kuelimisha jamii juu ya kutekeleza masuala ya kijinsia na kuratibu shughuli zote za Maendeleo ya Jamii kwa kuzingatia jinsia.

10.Kuhamasisha jamii kuondokana na mila/desturi zilizopitwa na wakati na kuwa na mtazamo wa kupenda kuleta mabadiliko.

11.Kuratibu shughuli za mifuko/mikopo ya wanawake.

12.Kuhamasisha jamii kutumia teknolojia rahisi na sahihi na.

13.Kuelimisha jamii kuhusu masuala ya watoto.

14.Kuratibu maadhimisho mbalimbali ya Kitaifa na Kimataifa.


USTAWI WA JAMII

1. Kusimamia utekelezaji wa Sheria, Sera, Miongozo, Kanuni na viwango vya ubora katika utoaji wa huduma mbalimbali za ustawi wa jamii.

2. Kufanya tathmini, ufuatiliaji na utaratibu wa huduma za ustawi wa jamii.

3. Kufanya tafiti zinazohusu huduma za ustawi wa jamii.

4. Kuwajengea uwezo watumishi wa ustawi wa jamii na Wadau katika utoaji wa huduma.

5. Kuanzisha na kuendeleza programu za kushawishi, kutetea na kulinda haki za makundi maalumu yakiwemo watu wenye ulemavu wa viungo na ngozi, wazee na wasiojiweza, familia zenye dhiki na watoto waishio katika mazingira hatarishi.

6. Kujenga Uhusiano na wadau wa nje na ndani ili kutoa huduma bora za ustawi wa jamii.


Maendeleo ya Vijana

    1.Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Sera ya Vijana.
    2.Kuratibu shughuli za mifuko/mikopo ya vijana.
    3.Kuhamasisha vijana kufufua moyo wa kujitolea kwa ajili ya Maendeleo yao na jamii kwa ujumla.
    4.Kupanga na kuendesha mafunzo yanayohusu stadi za maisha, stadi za kazi na Afya ya uzazi na kujamiina kwa Vijana.
    5.Kuanzisha vituo vya ushauri nasaha, ajira kwa vijana na elimu ya familia kwa kushirikiana na Vyama visivyo vya kiserikali.
    6.Kukusanya takwimu mbalimbali zinazohusu vijana.
    7.Kuratibu shughuli za NGOs mbalimbali zinazoshughulikia masuala ya Vijana.
   8. Kuandaa mpango wa kuboresha malezi ya vijana.
    9.Kuhamasisha waajiri na wafadhili mbalimbali wachangie mfuko wa mikopo nafuu kwa vijana katika maeneo mbalimbali.
    10.Kukuza na kuendeleza vipaji mbalimbali walivyonavyo vijana ili kuwawezesha kujiajiri.
    11.Kuandaa mipango ya kuhamasisha vijana ili kuanzisha miradi midogo midogo ya kujiajiri.
    12 Kuratibu shughuli za mabaraza ya vijana.
    13.Kuandaa na kuratibu shughuli za matamasha ya vijana.
   14. Kuratibu shughuli za usajili wa NGOs na CBOs zinazofanywa ngazi ya Wilaya.
    15.Kuratibu mafunzo ya  utoaji wa mbinu za kuwasaidia vijana kujikomboa na umaskini, ujinga, kupiga vita UKIMWI, madawa ya kulevya na kutetea usawa wa jinsia.





Tangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KWAAJILI YA KAZI YA SENSA 2022 July 18, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Hifadhi za Misitu

    March 29, 2023
  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Misitu

    March 29, 2023
  • Mapungufu Haya yawe fursa ya kutatua changamoto

    March 16, 2023
  • Waziri Mkuu akabidhi Mradi wa Msomera kwa Halmashauri

    March 07, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile:

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa