• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

FOMU YA MAOMBI YA VIWANJA-MJI MDOGO WA MKATA

Imerushwa: December 10th, 2018

HALMASHAURI YA WILAYA HANDENI KWA KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA UPIMAJI GEOPLAN EAST AFRICA LIMITED 

 

HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Ofisi Ya Mkurugenzi Mtendaji (H/W)
S.L.P 355,  Simu Na. +255 27 2977402
Website: www:handenidc.go.tz
Handeni-Tanga
GEOPLAN EAST AFRICA LIMITED
Plot No; 25 Block 46, Sam Nujoma Road,
Mwenge, Nzasa Street,  P. O. Box 35642,
Dar Es Salaam. 
 Mobile  +255 716915 221,   +255 714 552 408    
 

 

 
Tarehe ya Kutolewa : ………/…………../2018
Tarehe ya kuisha Muda ………../………/2018
 

 

 

MAOMBI YA KIWANJA/VIWANJA NAUTARATIBU WA MALIPO

 
  • TAARIFA ZA MWOMBAJI
 
Jina la ukoo
:

Majina mengine
:

Tarehe ya kuzaliwa
:

Kazi
:

Namba ya kitambulisho: (Passport, Birth Certificate,
Nationality, Identification Card)



  • TAARIFA ZA MAWASILIANO
Anuani ya  Posta
:

Mahali unapoishi
:

Namba za simu
:

Barua Pepe binafsi
:

Maelezo ya Kiwanja
Namba ya kiwanja                 Kitalu                     Ukubwa (sqm):                                          Bei
(Pamoja na  gharama za umiliki )                                                                                                    



 
  •  Utaratibu wa Malipo:   Taslim                                    Awamu
  • Kama ni awamu
  • Kianzio ( ………………………..):      Tshs.
  • Awamu:           (                    )
    • Awamu
        Kiasi 
       Tarehe
      Sahihi ya Mpokeaji













































    • Gharama za fomu ya maombi ni Tshs Elfu Kumi (10,000/=) na fedha hii haitarudishwa kwa mlipaji. Malipo haya yatafanyika kwa fedha taslimu katika dawati la mauzo.
    • Mnunuzi atatakiwa alipe asilimia Ishirini (20%) ya gharama zote za ununuzi na kiasi kinachobakia atalipa kwa miezi Kumi na Mbili (12) mfululizo
    • Mwombaji anapaswa kulipia kiwanja alichochagua kwa mujibu wa masharti yaliyomo humu.
    • Mwombaji atamilikishwa kiwanja hiki iwapo tu atalipa gharama/kodi zote zinazotakiwa kulipwa za hati  kufuatana na viwango stahiki vya Halmashauri/Serikali kuu
    • Endapo mwombaji atashindwa kumalizia kulipia kiwanja/viwanja vyake kwa muda wa miezi miwili (2) mfululizo bila taarifa na wala pasipo na sababu ya kuridhisha, kiwanja/viwanja vitachukuliwa na kuuzwa kwa mtu mwingine, na yeye atarejeshewa pesa aliyolipa baada ya kuuzwa kwa mtu mwingine kwa kukatwa asilimia Ishirini na Tano  (25%) kama tozo la kushikilia kiwanja na usumbufu
  • Muhuri na Sahihi kwa niaba ya  HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI/GEOPLAN EAST AFRICA LTD:

    Jina: …………………………………………………….

    Sahihi: ………………………………………………………

    Tarehe: ……………………………………………………

    Kwa matumizi ya ofisi

    Sahihi                                                                        Tarehe

    Jina la Mwombaji     

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa