• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kilimo, Ushirika,na Umwagiliaji

MAJUKUMU YA IDARA ZA KILIMO,UMWAGILIAJI  NA USHIRIKA.

1.    Kuboresha Huduma za ugani kwa wakulima katika vijiji 91 vya Halmashauri ya Wilaya.

2.    Kujenga na kuiendeleza miundombinu ya umwagiliajji

3.    Kuendeleza matumizi sahihi ya pembejeo za kilimo kama vile mbolea, Matumizi ya mbegu bora na viuatilifu.

4.    Kuendeleza matumizi ya zana bora za kilimo kwa kusaidia uwezeshaji wa matrekta makubwa  na kuayasambaza kwa wakulima               vijijini.

5.    Kuanzisha mashamba darasa  katika vijiji vyote ili kueneza mbinu za bora za kilimo

6.    Kuendeleza  teknolojia za usindikaji  na hifadhi ya mazao ili kuongeza thamani na kuboresha mfumo wa masoko .

7.    Kuendeleza kilimo cha mazao ya biashara (Machungwa,Maembe na Katani)

8.     Kuwawezesha Wakulima kushiriki  maonesho ya nanenane ya kanda ya Mashariki.

9.    Kuwezesha mpango wa matumizi bora ya ardhi vijijini.

10.    Kuhamasisha uanzishwaji wa vyama vya ushirika wa wakulima AMCOS na  SACCOS.

11.    Kutoa elimu ya ushirika kwa wanachama na wasio wanachama wa vyama vya ushirika.

12.    Kuviunganisha vyama vya ushirika na wadau wengine( TAASISI ZA FEDHA Kuboresha afya ya Mifugo kwa kutoa                  kinga dhidi ya maradhi mbali mbali.


HUDUMA ZINAVYOPATIKANA

Huduma hizi hutolewa  Halmashauri ya Wilya ya Handeni  kama ifuatavyo.

•    Kupata ushauri wa moja kwa moja toka ofisi ya Kilimo, Umwagiliaji na ushirika katika Wilaya.

•    Kupata ushauri wa ana kwa ana toka kwa wataalam wa wilayani, Kata au kwenye Vijiji katika shamba la mkulima

•    Kupata ushauri toka ofisi ya kata au ya Vijiji.

•    Mafunzo kwa njia ya mikutano ( warsha na semina mbalimbali)

•    Mafunzo kwa njia ya vikundi kuongea na vikundi


Tangazo

  • Tangazo la Kuitwa Kazini June 15, 2018
  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA SHULE ZA SEKONDARI HANDENI VIJIJINI 2021 December 17, 2020
  • Kuitwa Kwenye Usaili June 04 2018 May 30, 2018
  • Matokeo ya Darasa la Saba Shule ya kwanza hadi ya mwisho December 28, 2018
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mkurugenzi azindua kiwanda cha kufyatulia matofali.

    March 17, 2021
  • Makamu wa Rais afanya ziara Handeni.

    March 16, 2021
  • Mkurugenzi Mtendaji awapongeza wanawake kwenye Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.

    March 08, 2021
  • Kamati ya Fedha, Uchumi na Mipango yafanya ziara ya kukagua miradi inayotekelezwa na Halmashauri.

    February 10, 2021
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Bomani Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile: 0755651840

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa