• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Afya

JUKUMU LA IDARA YA AFYA NI KUTOA HUDUMA KWA JAMII, HUDUMA AMBAZO ZIMEGAWANYIKA KATIKA MAKUNDI YAFUATAYO

•    Afya Kinga;  kukinga jamii dhidi ya magonjwa

•    Tiba: kutoa huduma za tiba kwa magonjwa

•    Ukuzaji wa Afya/Elimu ya Afya: Kuijengea jamii uelewa na kuishi maisha yanayopunguza uwezekano wa kupata maradhi mbalimbali.

•    Rehabilitation: Kuwezesha mtu mwenye ulemavu wa kimaumbile/akili uliosababishwa na magonjwa/ugonjwa aweze kuishi maisha sawa au karibu sawa na wenzake.

•    Lishe: Inalenga kukuza uelewa na kuishi maisha ambayo yanazingatia kanuni za lishe bora.

•    Ustawi wa jamii: Kuwezesha jamii kupata haki sawa za kuishi katika Nyanja muhimu au haki za msingi za kibinadamu.


Idara inahakikisha huduma zinapatikana kwa kufanya yafuatayo kama idara katika Halmashauri ya Wilaya;

1.    Kumshauri Mkurugenzi kwa masuala yote ya Afya katika Wilaya /Halmashauri

2.    Kusimamia masuala yote ya kitalaamu ya afya kuanzia ngazi ya Wilaya/ Halmashauri mpaka kwenye jamii/ngazi ya kaya.

3.    Usimamizi wa huduma za afya ndani ya Wilaya/ Halmashauri

4.    Kusimamia na kuhakikisha huduma bora za afya na matibabu zinatolewa katika vituo vyote vya kutolea huduma za afya katika Halmashauri kuanzia ngazi ya Zahanati, vituo  vya afya hadi Hospitali

5.    Kuandaa taarifa zote za Afya za Wilaya/Halmashauri

6.    Kusimamia Rasilimali zote za afya , yaani watushi, fedha, vifaa, majengo na dawa katika Halmashauri ngazi zote.

7.    Kusimamia na kushauri katika  kuandaa na utekelezaji wa mipango ya Afya ya Halmashauri kwa kushirikiana na viongozi wa Wilaya/Halmashauri, Hospitali, Vituo vya Afya na Zahanati pamoja  na wadau mbalimbali

 AFYA KINGA

    Idara imeendelea kutekeleza majukumu mbalimbali yanayolenga kuwakinga wananchi na magonjwa ya kuambukiza. Majukumu hayo ni pamoja na:

    Ukaguzi wa nyumba za kuishi na  majengo ya biashara kama vile nyumba za kulala wageni,majengo ya kutengeneza na kuuza vyakula ili kuondoa machukizo yanayoweza kuhatarisha afya ya binadamu.

      1. Utoaji wa elimu ya afya kwa umma kuhusu masuala mbalimbali ya afya.

      2. Utoaji wa chanjo kwa magonjwa ya kuambukiza kwa wajawazito na watoto

      3. Usimamizi wa afya na usalama mahala pa kazi

      4. Usimamizi wa usafi wa Mazingira.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa