• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

Imerushwa: August 9th, 2024

WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZA DKT. SAMIA.

Watumishi Wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni  wameungana kwapamoja  kumpongeza na kutoa tuzo kwa Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanazania Mhe. Dkt.  Samia Suluhu Hassan kwa  utendaji kazi na kuimarisha uchumi wa Tanzania hususani kwa Wilaya ya Handeni.

Tuzo hiyo ya kutambua mchango wa Rais  Mhe. Dkt Samia imepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Balozi Mhe. Dkt.  Batilda Burian kwa niaba yake na kuwapongeza wanawake hao kwa kuwa na uthubutu wa kufanya jambo hilo la kutambua mchango wa Rais katika kuleta maendeleo nchini.

Pia Balozi Dkt. Batilda amewataka wanawake hao pamoja na watendaji kuongeza kasi ya kutatua changamoto zinazowakabili wananchi kwenye maeneo yao ili hii tuzo iweze kuwa na thamani zaidi niwaombe muongeze kasi zaidi ya kutatua kero zinazowakabili wananchi lakini pia muendelee kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Aidha wanawake hao wametoa tuzo kwa Katibu tawala Mkoa wa Tanga Bi. Pili Mnyema pamoja na tuzo kwa Katibu tawala Wilaya ya Handeni Bi.  Magerth Killo kwa kutambua michango yao kama wanawake katika kusimamia utekelezaji wa Maendeleo na kukabidhiwa pikipiki tatu kwa watumishi wanawake ambao Maafisa watendaji wa Kata za Mazingara, Mkata na Kabuku kwa lengo la kuwarahisishia utendaji wao wa kazi zao.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Albert Msando amesema katika Wilaya ya Handeni ameendelea  kupokea pesa kutoka Serikalini kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya Elimu, Afya, Maji na Barabara na Serikali ya Mhe Rais Dk Samia imefanya mambo makubwa katika uboreshaji wa huduma za kijamii, na kutekeleza ahadi zilizotolewa kuhusu miradi ya maendeleo. Msando Alisema.







Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa