• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Historia ya Halmashauri

 UTANGULIZI

Halmashauri ya Wilaya ya Handeni ipo kusini mwa mkoa wa Tanga kwa nyuzi za latitude 40 9’ – 60 0’ kusini mwa Ikweta na longitude nyuzi 360 8’ – 380 5’ mashariki mwa ‘‘Greenwich’’. Kwa upande wa Mashariki Wilaya ya Handeni inapakana na Wilaya za Pangani na Muheza, upande wa Kaskazini inapakana na Wilaya za Korogwe na Simanjiro, upande wa Magharibi inapakana nz Wilaya ya Kilindi na upande wa Kusini inapakana na Wilaya ya Bagamoyo.

1.1       ENEO:

Halmashauri ya Wilaya ya Handeni ina eneo la Kilometa za Mraba 6,453 (Ha.637,925.15).  Eneo hili ni sawa na asilimia 23.59 ya eneo lote la Mkoa wa Tanga

 

HALI YA WILAYA (PHYSICAL FEATURES) NA HALI YA HEWA:

Kwa ujumla Halmashauri ya Wilaya HANDENI imegawanyika katika Kanda Kuu mbili nazo ni:-

Ukanda wa Juu (Miinuko na Milima michache):

Ukanda huu unaundwa na miinuko ya milima iliyotawanyika na vilele vya milima ambayo mwinuko wake ni kuanzia meta 600 hadi meta 1,200 kutoka Usawa wa Bahari na umechukua karibu asilimia 75 (4,839.75 km2) ya eneo lote la Halmashauri ya Wilaya ya Handeni.  Kiasi cha wastani wa mm800 – mm1000 za mvua hupatikana katika Ukanda huu kwa mwaka.

Ukanda wa Tambarare:

Ukanda huu una mwinuko kati ya Meta 200 hadi Meta 400 kutoka Usawa wa Bahari na wastani wa mvua kwa mwaka ni mm 800 – 1,400. Ukanda umeenea karibu asilimia 25% (1,613.25km2) ya eneo lote la Halmashauri.

Kwa ujumla Wilaya inapata nyuzi joto la 270C mpaka 390C kwa misimu mikuu mitatu ya hali ya hewa:-

Msimu wa joto (Kuanzia mwezi Desemba – Machi)

Msimu wa Mvua (Kuanzia mwezi April – Mei)

Msimu wa Baridi (Juni – Septemba). kwa maelezo zaidi zoma hapa



Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa