• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Ufugaji

Sekta ya Mifugo

Halmashauri imeanza mikakati mahususi ya kuendeleza sekta ya mifugo kwa kuwahusisha wafugaji wahamaji katika ufugaji wa kisasa unaozingatia ubora wa mifugo na  malisho. Idadi ya mifugo katika sensa iliyofanyika mwaka  2014 ni kama ifuatavyo: wapo ng’ombe 125,780, mbuzi 189,141, kondoo 38,166, kuku 378,565, nguruwe 1,155, punda 1,372 na mbwa 8,124.

Lengo la uboreshaji wa mifugo ni kuhakikisha kuwa hadi ifikapo mwaka 2021 wananchi wawe na uwezo wa kuuza mifugo na nyama nje ya nchi, hii itabadilisha hali ya maisha kwa wafugaji na kuondokana na ufugaji wa kuhama hama.

Aidha, katika uboreshaji wa mifugo, yapo madume bora ya ngombe 1,800, mabeberu ya kisasa 920 na majogoo ya kisasa 2,400 ambayo yanatumika kwa ajili ya uboreshaji wa mifugo. Uhamilishaji ni njia nyingine inayotumika kuboresha ng’ombe, ambapo Halmashauri imejiwekea malengo ya kuhamilisha ng’ombe 2,000 kwa mwaka. Kwa mwaka 2015/2016 ng’ombe 174 wamehamilishwa.

Halmashauri ina vitalu vyenye ukubwa kati ya hekta 3,000 hadi 4,000 kila kimoja, pia imetenga maeneo kwa ajili ya kuanzisha ranchi za kijamii (community ranches) kwa ajili ya wafugaji wadogo. Kwa maana hiyo, tumewahimiza wamiliki wa vitalu kuweka sehemu ya kunenepeshea mifugo (feedlot ting) ili waweze kunenepesha mifugo ya wafugaji wa kawaida kwa maelewano maalum. Jedwali lifuatalo hapo chini linaonesha aina ya ranchi au vitalu vya wafugaji vilivyopo hapa wilayani.

Ranchi ya Taifa na Vitalu vya wafugaji

Aina ya ranchi/kitalu

Aina ya mifugo

Ng’ombe

Mbuzi

Kondoo

Mzeri Hill Ranchi (NARCO)

2,500

60

200

Nkale Ranchi

306

513

0

Olosipa  farm

1,300

180

150

Sado farm

50

250

250

Major One farm

200

0

150

Shalom farm

400

0

0

Good chance farm

400

0

0

Mukuti farm

1,000

0

0

Stage farm

400

160

0

Klub Africo farm

120

0

0

Jumla

6,676

1,163

750

Eneo la malisho ni hekta 367,530 ambazo zina uwezo wa kulisha takriban ng’ombe 200,000. Hata hivyo eneo hilo linatumika kwa shughuli mbalimbali za kilimo, makazi na migodi hivyo kusababisha migogoro kati ya wafugaji na wadau wengine wanaotumia ardhi.  Jitihada zinazoendelea ni kuainisha upya maeneo ya malisho kupitia mipango ya matumizi bora ya ardhi na hadi sasa Vijji 21 vimetengenezewa na kuainisha maeneo ya malisho katika mpango wa matumizi bora ya ardí, Lengo hadi 2025 likamilike vijiji vyote.

Halmashauri ya Wilaya ya Handeni  inamifugo  ya aina mbalimbali ikiwemo;

1. Ngombe

2. Mbuzi

3. Kondoo

4. Nguruwe

5. Ufugaji wa  kuku wa kienyeji.

6. Punda

Tangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KWAAJILI YA KAZI YA SENSA 2022 July 18, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Hifadhi za Misitu

    March 29, 2023
  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Misitu

    March 29, 2023
  • Mapungufu Haya yawe fursa ya kutatua changamoto

    March 16, 2023
  • Waziri Mkuu akabidhi Mradi wa Msomera kwa Halmashauri

    March 07, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile:

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa