• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

BARAZA LA MADIWANI LAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MARAMBO YA TASAF

Imerushwa: June 14th, 2017

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Handeni limepongeza utekelezaji wa mradi wa ajira za muda mfupi za uchimbaji wa marambo ya maji wa TASAF, mradi ambao umechimwa na wanufaika wa mfuko wa kunusuru kaya masikini (TASAF) kuvuna maji katika kipindi cha mvua.

Pongezi hizo zilitolewa mwishoni mwa wiki kwenye Baraza la madiwani lililofanyika kwenye ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni.

Akizungumza , Mwenyekiti wa Halmashauri BW. Ramadhani Diliwa alisema kuwa wamepitia miradi ya marambo yote na kuona namna ambavyo wananchi wamejitoa kuchimba kwa ufanisi mkubwa marambo hayo mbali na kwamba, kipindi cha utekelezaji kulikua na changamoto ya jua kali na uhaba wa chakula.

“marambo yamechimbwa kwa mikono na walengwa  lakini ukiyaangalia utadhani ni mashine ndio imechimba, Hongereni sana” alisema Mwenyekiti.

Aliongeza kuwa  kutokana na changamoto ya kuwepo na maji ya uhakika,wananchi watakuwa na uhakika wa maji kutokana na marambo hayo na hivyo kuwataka kuhakikisha wanayatunza ili yawasaidie hasa katika kipindi ambacho mvua itakuwa imekata.

Aidha, alieleza kuwa kuhusiana na changamoto ya malipo kwa walengwa waliofanya kazi hizo kuwa wavumilivu kwa kipindi hiki ambacho fedha zao zinashughulikiwa na mara fedha zitakapowasilishwa Halmashauri itahakikisha inawalipa kwa wakati.

Jumla ya marambo 63 yamechimbwa ambapo vijiji 45 vinatarajiwa kunufaika na mradi wa  marambo hayo katika kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa maji ya uhakika.Mradi wa kunusuru  kaya masikini TASAF umeibua miradi ya barabara 4, visima 17 na marambo 63 ambapo miradi yote imegharimu jumla ya Tsh. 661,622,600/=.

Rambo la kijiji cha Kwadoya

Rambo lililopo Mailikumi


Rambo la kijiji cha Mandela

Wanakamati na baadhi ya wanufaika wa mradi wakikagua rambo la mandela

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa