• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Baraza la Madiwani laridhia kufukuzwa Kazi kwa Watumishi zaidi ya 40 katika Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Tarehe 30/08/2019

Imerushwa: September 4th, 2019


Baraza la Madiwani Halmashauri ya wilaya limeridhia kufukuzwa kazi kwa watumishi wa Halmashauri 45 kwa makosa mbalimbali ya kiutumishi ikiwemo kutoa taarifa za uongo kwa Mwajiri, Kukosa sifa za Kimuundo, utoro kazini na kughushi vyeti.

Akitoa maamuzi hayo, Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Mustafa Beleko alisema, “ Watumishi walitoa taarifa za uongo 10 Halmashauri hii imewafukuza kazi, Waliojipatia ajira bila sifa za kimuundo ni 7 nao halikadhalika tumewafukuza kazi, na kuna watumishi 24 waliogushi vyeti nao halikadhalika tumewafukuza kazi, watumishi 4 waliofanya utoro kwa zaidi ya siku 5 mfululizo nao tumewafukuza kazi”.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Handeni Bi. Fatuma Kalovya alisema kuwa sekta zote zimeguswa  na maamuzi ya Baraza kwa kufukuzwa kazi kwa Watumishi na hivyo kuwasisitiza watumishi waliobaki kuwa makini na kuzingatia weledi wa kazi wasije wakapatwa na janga hilo.

Baraza pia lilijadili mambo mbalimbali yanayohusu Halmashauri kama umeme, maji, Vitambulisho vya Taifa na barabara ambapo wataalam wa Sekta hizo walitolea ufafanuzi mambo yote yanayohusu sekta zao kwa maendeleo ya Halmashauri ya wilaya Handeni.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 03, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa