• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC aunda Kamati ya Uelimishaji Kuhusu Kujikinga na Mgonjwa ya Mlipuko

Imerushwa: February 3rd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Albert Msando ameunda kamati maalum ya uelimishaji, uhamasishaji na ushirikishaji wa jamii kuhusu kujikinga na magonjwa ya mlipuko kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Handeni.

Kamati hiyo inajumuisha wajumbe wafuatao; Mkuu wa wilaya ambae ndiye mwenyekiti,kamati ya ulizi na usalama, wataalam kutoka Halmashauri,viongozi wa dini,wanahabari,taasisi zisizo za Kiserikali pamoja na wawakilishi wa wanajamii.

Mhe. Msando amesema kuwa kabla ya kuanza kazi kwa kamati hiyo amewataka wataalam waweze kuwajengea uwezo kamati na kuwapa maelekezo na mgawanyo wa majukumu ya kila mtu kwenye kamati kwa ajili ya kunusuru jamii ambayo ipo hatarini kukumbwa  na magonjwa ya mlipuko. Ameongeza kusema kwamba imezoeleka kuwa pindi inapotekea janga la mlipuko wa ugonjwa wanaachiwa viongozi lakini wapo watu ambao wanaushawishi na utaalamu wakiongea kwenye jamii inamuelewa na kufuata ushauri wake.

Mkuu wa Wilaya Mhe. Albert Msando amewapongeza wajumbe hao na kuwaasa watumie uzoefu na ujuzi wao kuhakikisha jamii inakuwa salama.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Handeni Bw. Saitoti Stephen amepongeza zoezi zima la uundwaji wa kamati hiyo ambayo itaweza kusaidia kutoa elimu kwa jamii na amemwomba Mkuu wa Wilaya kuwa awaandikie barua wanakamati wote ili waweze kujijua, wajitambue na watambue majukumu yao ya kutoa elimu kwa jamii ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko kama vile kipindupindu na homa ya matumbo.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Albart Msando

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Mhe. Mussa Mwanyumbu

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Handeni Bw. Saitoti Stephen.

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Handeni.

Katibu tawala wa Wilaya ya Handeni Bi. Upendo Magashi Kulia akiwa na Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya  Handeni  Dkt. Kanansia Shoo kushoto

Tangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KWAAJILI YA KAZI YA SENSA 2022 July 18, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Hifadhi za Misitu

    March 29, 2023
  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Misitu

    March 29, 2023
  • Mapungufu Haya yawe fursa ya kutatua changamoto

    March 16, 2023
  • Waziri Mkuu akabidhi Mradi wa Msomera kwa Halmashauri

    March 07, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile:

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa