• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

DC Gondwe awataka NIDA kufanya kazi ngazi ya Kata ili kila mwananchi aweze kupata kitambulisho cha Taifa

Imerushwa: December 21st, 2019


Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe aliyasema hayo jana wakati wa kufunga zoezi la kutatua kesho za wananchi (ONE STOP JAWABU) katika viwanja vya shule ya msingi Kabuku ndani, kero hizo zilianza kutatuliwa kuanzia tarehe  16-18/12/2019 katika Kata ya Mkata na tarehe  19-21/12/2019 katika Kata ya Kabuku Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga.

 Mkuu huyo wa Wilaya Handeni alisema hivyo  kwasababu idadi ya watu waliobaki wanaohitaji vitambulisho vya Taifa ni kubwa na wengi wao wametoka maeneo ambayo ni mbali na ofisi za NIDA hivyo kuwataka viongozi hao kutengeneza ratiba ya kuwafikia wananchi katika Kata zao na alisema ratiba hiyo ibandikwe katika ofisi za Kata, amesema ni haki ya kila mtanzania kupata kitambulisho cha Taifa.

Akitoa takwimu ya waliotatuliwa kero zao Mh. Gondwe amesema kwa siku tatu kwa Kata ya kabuku ambayo imejumuisha wananchi kutoka Kata za Komkonga, Kwedizinga, Gendagenda, Kabuku, Kabuku Nje na Ndolwa wananchi waliohudumiwa ni zaidi ya elfu tisini na sita(96000).

Alihitimisha kwa kuwataka viongozi wa idara ya Uhamiaji kushirikiana na viongozi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ili kuepusha usumbufu kwa wananchi na kupata huduma kwa wakati.

Kiongozi wa Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA) Mkoa wa Tanga Bw.Lembira Kitashu amesema baada ya zoezi la Kabuku wataanza na Kata za Kabuku, Kabuku ndani, Kwedizinga, Kitumbi, Segera, Mzundu na Komkonga hivyo aliwataka wananchi kurudi katika maeneo yao kwa kuwa watawafikia katika Kata zao.

Katika zoezi la utatuzi wa kero za wananchi (ONE STOP JAWABU) walikuwepo wataalamu mbalimbali wakiwepo  viongozi wa vizazi na vifo (RITA), Idara ya uhamiaji, wataalamu mbalimbali kutoka Idara za Halmashauri ya Wilaya ya Handeni,  Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA) na makampuni mbalimbali za simu.

MWISHO.

Imeandaliwa na;

Paulina John

Kitengo cha habari na mawasiliano Handeni DC

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh.Godwin Gondwe akizungumza na wananchi wakati wa kufunga zoezi la kutoa majawabu kwa wananchi

kiongozi wa NIDA Mkoa wa Tanga Bw. Lembira Kitashu akiwatoa hofu wananchi.


Wataalamu mbalimbali wakitoa huduma kwa wananchi


Wananchi waliojitokeza kupata majawabu ya kero zao

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa