• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI YAFANYA SEMINA YA LGDG KWA WAHESHIMIWA MADIWANI NA WAKUU WA IDARA NA VITENGO

Imerushwa: June 7th, 2017

Halmashauri ya Wilaya ya Handeni imefanya semina ya Uelewa wa fedha za ruzuku  ya maendeleo iliyoboreshwa (LGDG) na mfumo wa Fursa na Vikwazo ulioboreshwa (IMPROVED O&OD) kwa Waheshimiwa Madiwani na Wakuu wa Idara na Vitengo.

 Semina iliendeshwa na wataalamu wa Ofisi ya Rais- TAMISEMI na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni ililenga kuwajengea uelewa wa pamoja kuhusu fedha za ruzuku ya manendeleo iliyoboreshwa katika maeneo ya:-. 

 1.Maana na umuhimu wa LGDG

2.  Matokeo ya LGDG iliyoboreshwa

 3. Changamoto za LGDG iliyopita

 4. Vigezo 9 vya kiutendaji na vigezo vya msingi
 5. Mgawanyo wa fedha za LDGD

 6. Matumizi ya fedha za LDGD

 Kwa upande wa ugatuaji wa madaraka (D by D), umuhimu  wa mfumo wa fursa na vikwazo ulioboreshwa katika maeneo ya:- 

 1. Maana ya mpango wa fursa na vikwazo ulioboreshwa  (O&OD)

 2. Maana ya jitihada za jamii na aina zake

 3. Mantiki ya Halmashauri kusaidia jitihada za jamii kwa kuangalia Uhalisia wa Tanzania ndani ya Serikali za Mitaa na Faida za kutoa usaidizi kwa jitihada za jamii.

 4. Vigezo vya kuchambua jitihada za jamii

5.  Aina za usaidizi wa jitihada za jamii

6. Mifano halisi ya jitihada za zamii kwa video.

 Akifungua semina hiyo Jana, Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe alipongeza ushirikishaji wananchi kutoka ngazi za chini ili kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wakati na miradi ya maendeleo iliyokamilika kwa kuwepo na nia ya dhati kwa wananchi

Image may contain: 2 people, people sitting

Diwani Kata ya Kwamatuku Mh. Mustafa Beleko akiuliza swali la ufafanuzi.

Image may contain: one or more people, people sitting, table and indoor

Viongozi wakisikiliza kwa makini 

Image may contain: 3 people, people sitting, people standing and indoor

 Wataalmu kutoka Ofisi ya Rais-TAMISEMI na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Tanga

Image may contain: 2 people, people sitting 

Image may contain: one or more people, people sitting, table and indoor 


Waheshimiwa Madiwani na wakuu wa Idara na Vitengo kwenye ukumbi wa Halmashauri




Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa