• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Halmashauri yatoa elimu dhidi ya wadudu waharibifu na magonjwa kwenye zao la Korosho.

Imerushwa: October 15th, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Handeni kwa kushirikiana na Taasisi ya utafiti wa Mazao (TARI) tawi la Naliendele kilichopo Mtwara kimetoa elimu kwa wataalam wa kilimo wa Halmashauri na wakulima namna ya kudhibiti wadudu waharibifu na magonjwa kwenye zao la korosho.

Mkuu wa idara ya kilimo, Umwagiliaji na Ushirika wa Halmshauri ya Wilaya ya Handeni Bw. Yibalila Kamele Chiza amesema kwa miaka mitatu sasa Halmashauri imetekeleza maagizo ya Serikali ya kila Halmashauri kulima korosho na imewekeza kwenye zao la korosho kama zao la kimkakati na kuwapatia wakulima wa zao la korosho miche bure bila malipo yoyote kutoka kituo cha utafiti cha Naliendele kilichopo Mtwara.

Bw. Chiza amesema msimu wa kwanza wa mavuno ya korosho umewadia ni muda muafaka kama Halmashauri kuwapatia mafunzo wataalam na wakulima watakoenda kusaidiana na wakulima wenzao kupulizia dawa kwenye zao la korosho ili kuuwa wadudu waharibifu na kupata mazao yaliyo bora.

Mtafiti wa zao la Korosho kutoka TARI tawi la Naliendele Bw. Dadili Majune amesema wao kama wataalam wanaendelea kutoa elimu ya magojwa kwenye zao la korosho na ameyataja magonjwa makuu yanayoshabulia zao la korosho ambayo ni Ubwiri Unga, Braiti na debeji.

Baada ya kupata elimu wataalam wameweza kutambua dalili za magonjwa hayo na namna ya kudhibiti magonjwa hayo ili kuleta tija kwenye uzalishaji wa zao la korosho.

 Mkuu wa Idara ya Kilimo, Ushirika na Umwagiliaji Bw. Yibelila Kamele Chiza (katikati) wa Halmashauri ya Handeni akitoa maelekezo kwa wataam wa kilimo.

Mtafiti wa zao la Korosho kutoka TARI tawi la Naliendele Bw. Dadili Majune, aliyeshika fimbo akitoa ufafanuzi wa magonjwa ya zoa la korosho kwa wataalam wa Halmshauri.

Wataalam wa kilimo kutoka Halmashauri ya Handeni, wakimsikiliza Mtafiti kutoka TARI tawi la Naliendele.

Mtaalam akipulizia dawa kweye zao la korosho.

Wataalam wa kilimo pamoja na wakulima, wakiangalia wadudu waaribifu kwenye zao la korosho.

Korosho zikiwa bado hazijakomaa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa