• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Handeni yaadhimisha juma la kunawa Mikono na usafi wa Mazingira

Imerushwa: November 19th, 2021

Idara ya elimu kupitia kitengo cha Sayansikimu iliadhimisha Kilele cha maadhimisho ya Juma la kunawa mikono na usafi wa mazingira  katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mkomba Kata ya Kwachaga, Kijiji cha Mkomba ambapo mgeni rasmi alikuwa Afisa Tawala Wilaya ya Handeni Bi Upendo Mgeta ambaye alimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Handeni.

Lengo la maadhimisho hayo ni kuwakumbusha wananchi umuhimu wa kunawa mikono,usafi wa mazingira na umuhimu wa vyoo ili kuepukana na magonjwa ya mlipuko ukiwepo gonjwa hatari la UVIKO 19.

Akizungumza Afisa Tawala wa Wilaya wa Wilaya ya Handeni Bi.Upendo Magashi alipongeza ufanyikaji wa maadhimisho hayo ili wananchi wachukue tahadhari ya magonjwa ya mlipuko na kuambukiza kwa ajili ya maendeleo endelevu ya Taifa.

Naye Afisa Sayansikimu Bi Grace Mbanga aliwashukuru wadau mbalimbali wakiwepo shirika la Amref, World vision, Dorcas na Hope for young girls kwa kujitokeza kusaidia ufanyikaji wa maadhimisho hayo lakini pia wamekuwa wakichangia katika ujenzi wa vyoo shuleni kitu kitakachosaidia  kupunguza kuzuia kusambaa kwa magonjwa ya mlipuko.
Katika maadhimisho hayo zilitolewa zawadi za ndoo za kunawia,fyekeo,jembe, jagi la kumwagilia kwa shule zilizofanya vizuri katika usafi wa mazingira ambapo shule hizo ni Shule za msingi Nyasa, kwamatuku na Madebe na kwa upande wa Shule za Sekondari ni St. Wilbada, Segera na Kang'ata.
Sabamba na hilo pia mgeni rasmi alitoa vyeti kwa wadau kama ishara ya kutambua mchango wao katika Halmashauri ya Wilaya ya Handeni.

Afisa Tawala wa Wilaya wa Wilaya ya Handeni Bi.Upendo Magashi akikabidhi zawadi ya jagi la kumwagilia maji.

Afisa Tawala wa Wilaya wa Wilaya ya Handeni Bi.Upendo Magashi, wapili kutoka kushoto akiwa na maafisa kutoka Halmashauri ya Handeni kabla ya maadhimisho hayo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa