• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Handeni yaadhimisha siku ya UKIMWI duniani.

Imerushwa: December 1st, 2021

Siku ya UKIMWI duniani huadhimishwa 1 Desemba kila mwaka ili kueneza ufahamu wa ugonjwa wa UKIMWI unaosababishwa na uambukizi wa Virusi vya UKIMWI ni kawaida kuwa na ukumbusho huo siku hii ili kuwajali watu ambao wamefariki kutokana na ugonjwa wa UKIMWI. Kaulimbiu ya mwaka huu ya maadhimisho ya siku ya UKIMWI inasema “zingatia usawa tokomeza UKIMWI, tokomeza magonjwa ya Mlipuko”

Halmashauri ya Wilaya ya Handeni imeadhimisha siku ya UKIMWI duniani kwenye viwanja vya Tuliani vilivyopo kata ya Kwachaga.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Siriel Mchembe ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo amesema kaulimbiu ya Mwaka huu ya kuzingatia usawa na tokomeza UKIMWI iendane sambamba na wanaume wajitoleze kwa wingi kwenda kupima ili watambue afya zao.

Kwakutambua watoto wa kike namna wanavyorubuniwa na kuambukizwa ugonjwa wa UKIMWI, Mhe. Mchembe amemuagiza mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Handeni kuandaa mikakati ya ujenzi wa hosteli kwenye shule za sekondari ili wanafunzi wa kike wasitembee umbali mrefu.

Pia Mkuu wa Wilaya Mhe. Mchembe aliwaongoza wananchi wa kwachaga kupima ugonjwa wa UKIMWI ili kutambua afya zao.

Kwenye maadhimisho hayo huduma mbalimbali zilitolewa kama vile upimaji wa Virusi vya UKIMWI (VVU), chanjo ya Ugonjwa wa UVIKO-19, elimu ya lishe na magonjwa sugu yasiyoambukiza na upimaji wa Ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB). Huduma nyingine ni pamoja na utolewaji wav yeti vya kuzaliwa kwa watoto waliopo chini ya miaka mitano, uandikishaji wa bima ya afya iliyoboreshwa (iCHF) na elimu ya ukatili wa Kijinsia.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Siriel Mchembe  (katikati) akitolewa damu kwaajili ya kupimwa virusi vya UKIMWI.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Handeni Bw. Saitoti  Zelothe Stephen, akiwaasa na kuwasisitiza vijana kuacha tamaa ambazo zitawapelekea kupata ugonjwa wa UKIMWI.

Afisa Ustawi wa Jamii Bi. Jogia Mjankwi kulia akitoa cheti cha kuzaliwa cha mtoto chini ya miaka mitano kwa mzazi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa