• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Handeni yafanya kikao cha baraza la wafakazinyakazi

Imerushwa: January 18th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Handeni imefanya kikao cha baraza  la wafanyakazi Ili kupitia mpango wa rasimu ya bajeti  ya Halmashauri ya mwaka wa fedha 2022/2023.

Mwenyekiti wa baraza hilo ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw. Saitoti Zelothe Stephen amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali na kuwatetea wananchi  hivyo watanzania na wafanyakazi  wote kwaujumla wazidi kumuombea Rais Afya njema Ili wazidi  kuuona upendo wake kwa wafanyakazi.

Bw. Saitoti amesema kuwa baraza  hilo ni muhimu kupitia rasimu hiyo ya bajeti ili kuboresha kabla ya kwenda  kujadiliwa kwenye baraza la madiwani pia alitumia nafasi hiyo kuwapongeza Walimu kwa kusimamia Miradi ya Ujenzi wa miundombinu ya Madarasa ya UVIKO-19 na Miradi yote inayotekelezwa kwenye shule zao.

Kwakumalizia Bw. Saitoti amewaasa watumishi kusimamia uadilifu na uaminifu kwenye mazingira yao ya Kazi.

Kwaupande wa viongozi wa vyama vya Wafanyakazi wameishauri Serikali kutoa motisha kwa watumishi wanaofanya Kazi vizuri na wameomba kuboreshewa maslahi pamoja na mazingira bora ya kufanyia Kazi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw. Saitoti Zelothe Stephen (Aliyevaa tai), akiongea kwenye kiako Cha baraza hilo.

Wadau mbalimbali wakifuatilia kwa makini rasimu ya bajeti ya Halmashauri.

Watumishi mbalimbali wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Handeni.

Tangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2022 KWASHULE ZA SEKONDARI HANDENI VIJIJINI May 16, 2022
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Waziri Mkuu akagua ujenzi wa Nyumba.

    March 13, 2022
  • Kamati ya Ushauri ya Wilaya yafanya Kikao Maalum

    February 16, 2022
  • Mkuu wa Wilaya akabidhi Pikipiki.

    January 20, 2022
  • Handeni yafanya kikao cha baraza la wafakazinyakazi

    January 18, 2022
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile: 0759760156

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa