• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Fedha, Uchumi na Mipango yafanya ziara ya kukagua miradi inayotekelezwa na Halmashauri.

Imerushwa: February 10th, 2021

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Fedha, Uchumi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Mh. Mussa Mwanyumbu ameongoza kamati hiyo kufanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri.

Miradi hiyo ni pamoja na Ujenzi wa jengo la makao makuu ya Halmashauri, Ujenzi wa nyumba ya Mganga mkuu wa Halmashauri, Ujenzi wa jengo la uthibiti ubora wa Elimu na shule ya sekondari ya Martin Shigela iliyoko kijiji cha Mzeri kata ya Misima. Miradi mingine ni Shule za sekondari Segera na Kabuku na kiwanda cha kuchakata muhogo cha Jipe Moyo kilichopo kata ya kitumbi.

Wakati ya ziara hiyo mwenyekiti  Mh. Mwanyumbu amempongeza Mkurugenzi wa Halmashuri na watumishi kwa kusimamia miradi hiyo kwa ukamilifu.

Aidha, kamati hiyo ya fedha, uchumi na mipango imeshauri Halmashauri kuchimba kisima cha maji katika eneo la ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Halmashauri ili  kurahisisha  upatikanaji wa maji ya uhakika kwenye ujenzi huo na kuepuka gharama za ununuaji wa maji.

Kwaupande wa Afisa mipango wa Halmashauri ya Handeni Bi. Edina Katalaiya kwaniaba ya Mkurugenzi ameishukuru kamati ya fedha, uchumi na mipango kufanya ziara ili kujionea miradi inayotekelezwa na Halmashauri.

Bi Edina Katalaiya amesema kuwa Halmashauri itapeleka mabati 162 na saruji mifuko 90 kwenye ujenzi wa shule ya Sekondari Kabuku, na mifuko 100 ya saruji kwenye ujenzi wa shule ya sekondari ya Martin  Shigela iliyopo Misima.

Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya fedha, uchumi na mipango Mhe. Mussa Mwanyumbu wapili kushoto, akimsikiliza Mhandisi John Mshahara kulia walipotembelea ujenzi wa jengo la makao makuu ya Halmashauri. 

Kamati ya Fedha, Uchumi na Mipango ilipofika kukagua kiwanda cha kuchakata muhogo cha Jipe Moyo kilichopo kata ya Kitumbi.

Afisa mipango wa Halmashauri Bi.Edina Katalaiya aliyeshika kitabu, akiongea na wanafunzi wa shule ya sekondari Martin Shigela iliyopo Kata ya Misima.

Mhandisi John Mshahara wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni wapili kushoto, akitoa ufafanuzi kwa kamati ilipotembelea ujenzi wa jengo la makao makuu ya Halmashauri.

Muonekano wa Jengo la makao makuu ya Halmashauri hatua lililofikia ujenzi bado unaendelea. 

Jengo la Uthibiti ubora wa Elimu Halmashauri Wilaya ya Handeni.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa