• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Kamati ya Ushauri ya Wilaya yafanya Kikao Maalum

Imerushwa: February 16th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Handeni  pia ni mwenyekiti wa kamati ya Ushauri ya Wilaya Mhe. Siriel Mchembe aongoza kamahi hiyo kufanya kikao maalum cha ushahuri Wilaya ya Handeni.

Mhe. Mchembe amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano kwa namna anavyoipatia Wilaya ya Handeni fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali kwenye Wilaya ya Handeni akitolea mfano wa ujenzi wa madarasa Mkuu wa Wilaya amesema kuwa wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2022  wameingia darasani na hakuna mwananfunzi anayekaa chini kwa kukosa dawati hii kutokana na juhudi zake za kutoa fedha za UVIKO-19 ili zijenge madarasa amabayo yametatua changamoto za uhaba wa madarasa kwa Wilaya ya Handeni.

Kwa kupitia kikoa hiko Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Siriel Mchembe amewapongeza wadau wa maendeleo kwa michango yao mbalimabali kwa ajili ya maendeleo ya Halamashauri ya Wilaya ya Handeni.

Kwa kutambua michango ya wadau wa maendeleo kwenye Halmashauri kupitia kikao hiko cha ushauri Wilaya Mkuu wa Wilaya Mhe. Siriel Mchembe alitoa tuzo kwa wadau hao ambao ni pamoja na Shirika la maendeleo la World Vision Tanzania, Shirika la DORCAS, Shilika la AMREF, Shirika la CAMFED, Godmwanga Gems Ltd, Islamic Help na Tanzania Muslim Shia.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Siriel Mchembe amabaye ni mwenyekiti wa kamati ya ushauri Handeni akiongea kwenye kikao cha Ushauri maalum.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Handeni Mhe. Athumani Malunda akitoa neno kwenye kamati maalum ya Ushauri Wilaya ya Handeni.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Mhe. Mussa Mwanyumbu (aliyesimama) akiongea kwenye kikao huko.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw. Saitoti Zelothe Stephen, akiongea kwenye kikao hiko.

Afisa Tarafa ya Mazingara Ngudu  Amin Yassini wa kwanza kushoto akimsikiliza Mkuu wa wilaya kwenye kikao hiko. 

Wajumbe wa Kikao cha ushauri wa Wilaya ya Handeni wakimsikiliza mkuu wa Wilaya ya Handeni.

Tangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2022 KWASHULE ZA SEKONDARI HANDENI VIJIJINI May 16, 2022
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Waziri Mkuu akagua ujenzi wa Nyumba.

    March 13, 2022
  • Kamati ya Ushauri ya Wilaya yafanya Kikao Maalum

    February 16, 2022
  • Mkuu wa Wilaya akabidhi Pikipiki.

    January 20, 2022
  • Handeni yafanya kikao cha baraza la wafakazinyakazi

    January 18, 2022
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile: 0759760156

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa