• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Katibu tawala wa wilaya ya Handeni azindua baraza la wazee la Halmashauri ya Wilaya ya Handeni.

Imerushwa: August 6th, 2020

Katibu tawala wilaya ya Handeni Mhe. Mashaka Boniphace Mgeta akimwakilisha mkuu wa Wilaya ya Handeni amezindua baraza la wazee wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni na kuwashukuru wazee kwa ushirikino na umoja wao kwa maendeleo ya Handeni na Taifa kwa ujumla.  

Akisoma maneno ya Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe.Toba Nguvila kwa wazee hao amesema kuwa anashukuru kuteuliwa kuwa mgeni rasmi na kuwapongeza Halmashauri ya Handeni kwa kuandaa na kukamilisha uundaji wa baraza la wazee na  kusema kuwa jukumu la kuwatunza wazee ni la kwetu sote na wazee wapate huduma sawa na watu wote

Kwakumalizia Mkuu wa Wilaya ya Handeni amesema kuwa wazee ndiyo chachu ya maendeleo ya leo na mahitaji ya wazee yawe ni ya haki sio msamaha.

 Kwa upande wa Katibu tawala wa Handeni Mhe. Mashaka Mgeta amempongeza Mkurugenzi Mtendaji pamoja na watumishi wa Halmashauri ya Handeni kwa kugawa rasilimali fedha kwa wazee na kuandaa mazingira mazuri ya wazee kupata huduma ili nao waweze kunufaika na matunda ya nchi.

Pia Mh. Mgeta amesema kuwa miradi yote ya maendeleo kiwekwe  kipengele cha kuwatunza wazee na amewakumbusha watumishi kuwapa kipaumbele wazee kwenye semina zinazowahusu na tuwaunganishe wazee wa Handeni na wazee wa nje ya Handeni.

Kabla ya kufungua baraza hilo katibu tawala Wilaya ya Handeni Mhe. Mgeta alisimamia uchaguzi wa viongozi wa baraza la wazee ambapo Mzee Ismail Mrope amechaguliwa kuwa mwenyekiti, Mzee Sufiani Mhando amechaguliwa kuwa katibu na Mzee Ally Kadege kuwa mweka hazina na kuwaapisha viongozi hao pamoja na kuwapa majukumu ya baraza hilo kwa wazee wa Handeni.

Afisa utumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw. Charles Mwaitege amesema kuwa utambuzi wa wazee uwe endelevu kwani kila mara wazee wanaongezeka  na watambulike kisheria na ameshauri kuwa kwenye hospitali, vituo vya afya na zahanati kuwepo na daktari maalum atakaye hudumia wazee ili wapate huduma nzuri.

 Kwakumalizia Bw. Mwaitege ameishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuwajali wazee na kuwaandalia mazingira mazuri ya kupata huduma za afya na kuwapunguzia ukali wa maisha kupitia mfuko wa TASAF.

Katibu tawala wa wilaya ya Handeni Mhe. Mashaka Mgeta aliyesimama akitoa maelekezo kwenye uzinduzi wa baraza la wazee.

Katibu tawala wa wilaya ya Handeni Mhe. Mashaka Mgeta kulia akimkabidhi nyaraka za ofisi mwenyekiti wa baraza la wazee wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni Mzee Ismail Mrope.

Afisa utumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw. Charles Mwaitege aliyesimama akifafanua jambo kwenye uzinduzi huo.

Afisa ustawi wa Jamii Bw. Jovin Gosbert kulia akimkabidhi katibu tawala wilaya ya Handeni taarifa ya ustwawi wa Jamii.

Baadhi ya wazee wa baraza la wazee wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni wakipokea malekezo kutoka kwa Katibu tawala wa wilaya ya Handeni.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa