• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

TAMISEMI yaendesha Mafunzo ya Mradi wa BOOST kwa timu za utekelezaji Mikoa na Halmashauri.

Imerushwa: December 17th, 2022

Mradi wa Boost unatarajiwa kuboresha mazingira ya Ujifunzaji na Ufundishaji, ujuzi na ubora wa walimu katika ufundishaji pamoja na kuimarisha upatikanaji wa rasiliamali za utoaji wa huduma za elimu ngazi ya Halmashauri.

Akifungua mafunzo elekezi ya utekelezaji wa mradi wa boost kwa wajumbe wa timu za utekelezaji wa Mikoa na Halmashauri kutoka Tanga na Kilimanjaro, Afisa Elimu Mkoa wa Tanga Bi. Newaho Mkisi amesema thamani ya Mradi wa boost ni Triliani 1.15 kwa nchi nzima ambapo fedha hizo zitatolewa na Serikali kwa Kushirikaina na Bank ya Dunia kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 12,000 kwa shule za Awali na Msingi za Serikali hapa nchini kwa kipindi cha miaka mitano kwenye maeneo yenye upungufu na msongamono wa wanafunzi pamoja na kununua vifaa vya tehama na ujenzi wa vituo vya kutolea mafunzo kwa walimu.

Bi. Mkisi amewataka washiriki wa Mafunzo hayo kuzingatia weledi na ushirikiano kwenye Halmashauri zao katika utekelezaji wa maradi huo.

Akifunga mafunzo hayo ya siku mbili Mkurugenzi wa Elimu Maalum, Elimu nje ya mfumo rasmi na elimu ya Michezo kutoka TAMISEMI  Bw. Julius Migea  amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania Mhe. Dkt. Smia Suluhu Hassan kwa kuijali kwa kipekee sekta ya elimu kwa kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa na ujenzi wa mabweni  kwa wananfunzi wenye mahitaji maalum.

 Bw. Migea ameongeza kusema kuwa Halmahsuri zote zinawajibu wa kusimamia miradi yote ya miundombimu ya madarasa  inayotekelezwa kwenye maeneo yao kwa weledi kulingaanoa na thamani ya fedha kulingana  na ubora na kukamilisha kwa wakati.

Aidha kila mmoja kwa nafasi  yake akawajibike kwa ajili ya kutekeza mradi huu wa boost kwenye maeneo yao kulingana na taaluma zao.

Mkurugenzi huyo amesema kuwa matokea yaliyokubaliwa lazima yafikiwe kwa kuzingatia sheria kanuni na miongozo katika kutekeleza mradi huu wa BOOST.

 Pia mradi huu sio wa mtu mmoja mmoja wataalam wote washirikiane kwa ajili ya kufikia malengo yaliyokusudiwa  na kutobadilisha shule au miundombinu kwa shule zitakazobainishwa zenye matatizo ya miundombinu. Amesema Migea.

Mkurugenzi huyo ametoa rai kwa wataalam kushirikiana na wazazi kwenye zoezi zima la uandikishaji wa wanafunzi kuanza darasa la awali na darasa la kwanza  ili miradi itakayojengwa iweze kutumika ipasavyo. Tamisemi itafuatailia hatua zote za utekelezaji wa mradi huu na kuchukuwa hatua stahiki kwa wakati kwa miomgozo, sheria na makubaliono.

Mafunzo hayo ya siku Mbili yamefanyika katika shule ya Sekondari ya Wasichana Korogwe yakiwakutanisha wataalam 231  wa kada ya Elimu, Mipango, Uhasibu, Tume ya utumishi wa walimu wathibiti ubora wa elimu pamoja na maafisa habari kutoka Halmashuri 11 za Mkoa wa Tanga na Halmashauri 7 kutoka Mkoa wa Kilimajaro.



Mkurugenzi wa Elimu Maalum, Elimu nje ya mfumo rasmi na elimu ya Michezo kutoka TAMISEMI  Bw. Julius Migea akiongea kwenye mafunzo hayo.


Wajumbe wa Mafunzo wakimsikiliza Bw. Migea

Washiriki wakiwa wanapata Mafunzo.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa