• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mapungufu Haya yawe fursa ya kutatua changamoto

Imerushwa: March 16th, 2023

Tunamshuku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassani ametupa hali ya upendeleo kwenye sekta ya elimu, wanafunzi wote  kuanzia darasa la awali mpaka kidato cha sita wanasoma bure bila kulipa ada.

“Wanamafunzo ninyi ndiyo viongozi ambao mmekabidhiwa dhamana kubwa katika sekta ya elimu na utoaji wa Elimu bora,pia ninyi ndiyo nguzo  muhimu ya maendeleo katika nchi yetu na kwakuwa elimu bora husaidia upatikanaji wa rasilimali watu wenye maarifa na ustadi katika nyanja mbalimbali hivyo husaidia kuleta maendeleo katika nchi yetu."

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Idara ya Elimu ya Awali na Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bi. Rehema Nyoka wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo juu ya Uundaji wa Jumuiya za Umoja wa Wazazi na Walimu (UWAWA) yanayofayika kwa siku tatu kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Handeni.

Kuanzishwa na kutekelezwa kwa UWAWA kutaleta matokeo chanya ya Elimu kwa kuwa walimu na wazazi watajenga hisia za umiliki wa shule, kusaidia,kuimarisha miundombinu jumuishi, kuchangia katika mipango ya shule na kuongeza ushirikiano wa kamati za na shule.

Aidha Bi. Rehema Nyoka amesema kuwa kamati hizo zinapaswa kusimamia nidhamu za watoto wetu na changamoto zote kuanzia darasa la awali zikatatuliwe,kupitia  mafunzo haya tukasimamie na kudhibiti swala la utoro na kupandisha mahudhurio ya wanafunzi shuleni pamoja na uboreshaji wa miundombinu ya shule na kutekeleza zoezi zima la upatikanaji wa chakula shuleni. Bi Rehema Amesema.

Mafunzo hayo yanawezeshwa na Mradi wa Shule bora unaofadhiliwa na Shirika la Misaada la Uingereza (UK AID) na kutekelezwa kwa pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Elimu na Ofisi ya Raisi TAMISEMI kwa lengo la kutengeneza ushirikiano wa wazazi na walimu kwenye masuala ya ufundishaji na ujifunzaji katika elimu ya Awali na Msingi. Mafunzo hayo yanajumuisha Maafisa elimu wa Kata, wenyeviti wa Kamati za shule pamoja na walimu wakuu wa Shule za Msingi.

Sasa hivi kuna janga kubwa sana la watoto kulawitiwa,kupitia Mradi wa Shule Bora twende kama UWAWA tukasimamie na kukemea katika shule zetu jambo hilo tusimamie maendeleo ya taaluma na kupandisha ufaulu kwenye matokeo ya madarasa yote ya mitihani.

Bw. Shabani Kilamo ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Shule ya Msingi Kwamwanamangale iliyopo Kata ya Mazingara ameishukuru Serikali kwa kupitia Mradi wa shule Bora, amesema mafunzo hayo yamewaongezea ushirikiano kati ya walimu na wazazi ambao utasaidia kukomesha utoro na kuboresha mazingira ya wanafunzi kwenye suala la ujifunzaji hasa kuhakikisha chakula kinapatikana shuleni.

Bi. Rehema Nyoka, Mkuu wa Idara ya Elimu ya Awali na Msingi wa Halmashauri ya Handeni.

Bi. Rachel Mbelwa, aliyesimama mkuu wa idara ya Mendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Handeni.


Tangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KWAAJILI YA KAZI YA SENSA 2022 July 18, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Hifadhi za Misitu

    March 29, 2023
  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Misitu

    March 29, 2023
  • Mapungufu Haya yawe fursa ya kutatua changamoto

    March 16, 2023
  • Waziri Mkuu akabidhi Mradi wa Msomera kwa Halmashauri

    March 07, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile:

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa