• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkurugenzi azindua kiwanda cha kufyatulia matofali.

Imerushwa: March 17th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw. William Makufwe amezindua kiwanda cha kufyatulia tofali kinachomilikiwa na Halmashauri.

Bw. Makufwe ameishukuru timu ya ushauri ya Halmashauri (Wakuu wa Idara) kwa kuridhia kuanzisha mradi wa kufyatua tofali na amesema mradi huo utaleta faida kwenye Halmashauri kwani wateja wapo tayari wanasubiria huduma ya upatikanaji wa matofari hayo, hivyo amehimiza uzalishaji uwe mkubwa ili Halmashauri iweze kupata faida kwa haraka.

Kwakumalizia Mkurugenzi Mtendaji Bw. William Makufwe amesema Halmashauri imejipanga kuanzisha miradi yake kwaajili ya kujiongezea kipato kwakupitia makusanyo yake ya ndani. “Baada ya kiwanda cha kufyatulia matofali Halmashauri itanzisha kiwanda cha kupasua mawe na kokoto katika  kijiji cha Mazingara hivyo kuongeza wigo wa makusanyo ya mapato” alisema na kutoa wito kwa watumishi wote wa Halmashauri kuilinda na kuitunza miradi hiyo.

Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bi. Edina Katalaiya amesema kiasi cha Milioni 31 zimetumika kwaajili ya kugharamia mradi huo wa kufyatulia matofali. Gharama hizo ni pamoja na ununuzi wa mashine, kujenga kibanda cha kuwekea mashine, kuweka umeme wa njia tatu na kuweka maji.

Bi Edina amesema matofali hayo ni kwaajili ya kuuza kwa  kila mtu binafsi na taasisi za Serikali na kuongeza kusema kuwa kutakuwa na matofali yenye viwango tofauti na  kila tofari moja litauzwa kuanzia shilingi 1000 hadi shilingi 1800 kutokana na mahitaji ya mteja.

Mwenyekiti wa kamati ya fedha, uchumi na mipango pia ndiye mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Mussa Mwanyumbu wa kwanza kushoto, akiongoza kamati hiyo kutembelea kiwanda cha kufyatulia tofali.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Handeni Bw. William Makufwe aliyeshika chepe, akiweka mchanga kwenye mashine ya kufyatulia tofali.


Mkuu wa idara ya utumishi Bw. Charles Mwaitege, aliyeshika chepe akiweka mchanga kwenye mashine ya kufyatulia tofali.


Afisa Mipango wa Halmashauri ya Handeni Bi. Edina Katalaiya aliyeshika kitabu, akitoa ufafanuzi wa mradi huo.


Wakuu wa Idara na vitengo wakimsikiliza Mkurugenzi wakati wa uzinduzi huo.


Muonekano wa matofali yaliyofyatuliwa baadaya uzinduzi wa kiwanda.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa