• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkurugenzi Makufwe aitaka jamii kushirikiana kupiga vita dhiti ya ukatili wa kijinsia

Imerushwa: March 8th, 2020

Aliyasema hayo jana katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliyofanyika katika Kata ya Komkonga Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga.

Bw.William Makufwe ambaye alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alisema jamii ikishirikiana itatokomesha ukatili wa kijinsia ikiwepo mfumo dume na ubakaji.

Pia ameitaka jamii kupiga vita mimba na ndoa za utotoni ili vijana wa kike washiriki katika shughuli za maendeleo na kufikia ndoto zao kiuchumi.

Aidha amesema jamii kuhakikisha wanasimamia haki ya elimu kwa mtoto wa kike kwasababu baadhi ya wazazi huwapeleka vijana wa kiume shule na kuwaacha wa kike nyuma kitu kinachowapelekea kufikia ndoto zao kielimu.

Alitimisha kwa kuwaasa wananchi kuwa makini kwa kuwa ugonjwa korona unazidi kusambaa katika nchi za Afrika

Pia alishukuru wahisani wa shirika la Tanzacare na CAMFED kwa kusaidia kufanikisha maadhimisho hayo

Katika maadhimisho hayo pia vikundi vya kina mama, vijana na walemavu walipewa mkopo jumla ya kiasi cha Shilingi milioni 20 kutoka asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halmashauri ambapo mkopo huo unatolewa bila riba.

Akisoma taarifa kwa niaba ya wanawake Bi.Kijali amesema wanawake wanakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazowarudisha nyuma kimaendeleo ikiwepo mfumo dume katika familia hasa katika masuala ya kiuchumi, riba kubwa za mikopo zinazotozwa na taasisi za fedha na uhaba wa maji unaopelekea wanawake kutokufanya dhughuli za uzalishaji badala yake kwenda kutafuta maji.

Maadhimisho ya siku ya wanawake hufanyika kila mwaka kila ifikapo tarehe 8.03 ambapo mwaka huu yalikuwa na kauli mbiu inayosema "KIAZAZI CHA USAWA KWA MAENDELEO YA TANZANIA YA SASA NA YA BAADAYE".

MWUSHO

Imeandaliwa na;

Paulina John

Kitengo cha Habari na mawasiliano Handeni DC

Mgeni rasmi ambaye pia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw.william Makufwe akizungumza na wananchi wa Kata ya Komkonga 

Mwakilishi wa wanawake Bi.Kijali akisoma taarifa

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya jamii Bi.Rachel Mbelwa akizungumza 

Katibu Tarafa ya Mzundu Bi.Elizabeth akifanya utambulisho wa Viongozi


Mgeni rasmi Bw.William Makufwe akikagua bidhaa zilizoletwa katika siku ya maadhimisho ya wanawake 



Mgeni rasmi Bw.william Makufwe akitoa mikopo ya bila riba kwa vikundi vilivyokidhi vigezo.

Mwakilishi wa Umoja wa Wanawake Mkoa akitoa neno la nasaha

Mgeni rasmi Bw.william Makufwe akimkabidhi taulo za kike zilizotolewa na shirika la CAMFED Mtendaji wa Kata ya Komkonga kwaajili ya kugawa kwa wanafunzi wa kike shuleni

Burudani mbalimbali zilikuwepo

wananchi walijitokeza kwa wingi kuadhimisha siku ya wanawake

Diwani wa Tarafa ya Mzundu Mh.Sophia Sowa akikata keki ya siku ya wanawake 

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa