• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkurugenzi Mtendaji awapongeza wanawake kwenye Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.

Imerushwa: March 8th, 2021

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Handeni Bw. William Makufwe ameipongeza serilikali ya awamu ya tano kwa kuleta amani na utulivu kwa Taifa, ameyasema hayo kwenye madhimisho ya siku ya wanawake duniani yanayoadhimishwa kila tarehe 8 machi na  yaliadhimishwa kiwilaya kwenye kata ya Mazingara. Kaulimbiu ya mwaka huu ni  Wanawake katika uongozi ni chachu ya kufikia usawa wa kijinsia.

Bw. Makufwe amesema mwanamke akipewa uongozi anafanya vizuri na anakuwa kiongozi bora, hivyo amewaasa wazazi wapeleke watoto wao wa kike shuleni kwani elimu ni bure na ukimsomesha mototo wa kike jua umesomesha Taifa na akitolea mfano wa makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambaye ni mwanamke na kiongozi bora kwewnye taifa la Tanzani.

Kwa Halmashauri ya wilaya ya Handeni asilimia nne ya mapato ya ndani yanaenda kwa kinamama kwaajili ya kuanzisha vikundi na Handeni ni Halmashauri pekee ya Mkoa wa Tanga ambayo imeweza kujenga kiwanda kinachomilikiwa na kinamama cha kuchakata muhogo ili kujikwamua na umasikini na utegemezi.

Kwakumalizia Mkurugenzi Mtendaji amesema kuwa  kwenye jamii bado kunachanagamoto za ukatili wa kijinsia na watoto wa kike wananyanyaswa na hawapelekwi shule ametoa rai kuwa wazazi wote wasiowapeleka watoto wao shule wakamatwe na wapelekwe polisi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Handeni Bw. William Makufwe aliyevaa suti akimpa zawadi ya pesa na sabuni mama ambaye ni mlemavu wa macho kwenye maadhimisho hayo.

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya jamii Bi. Rachel Mbelwa wanne kutoka kulia akiwa pamoja na kikundi cha kinamama cha Mazingara.

Kikundi cha kinamama cha Segera wakionesha bidhaa zao kwenye maadhimisho hayo.

Kinamama wakisonga ugali kwaajili ya kuuza ili kujiongezea kipato kwenye maadhimisho hayo.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa