• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa wilaya ya Handeni atamatisha wiki ya unyonyeshaji mkoa wa Tanga.

Imerushwa: August 27th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Toba Nguvila ameahirisha wiki ya unyonyeshaji kwa mkoa wa Tanga iliyofanyika kwenye Halmashauri ya wilaya ya Handeni.

Mh. Nguvila amempongeza Mkurugenzi Mtendaji  pamoja na watumishi wote wa Halmashauri kwa juhudi kubwa wanazozifanya kwa kutoa huduma nzuri za lishe pia amewahasa kinamama kunyonyesha watoto wao kwa muda kama taratibu za kiafya zinavyoelekeza wasiwaachishe watoto wafikapo miezi sita na kuanza kuwapa maziwa ya kiwandani.

Kwakumalizia Mkuu wa Wilaya amesema ofisi za serikali na taasisi zote ziwape wafanyakazi wanawake likizo ya uzazi wanapojifungua ili wanyonyeshe watoto wapate afya njema na wanaume wapewe likizo ya siku tatu kumuhudumia mke wake.

Kwaupande wa Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw. William Makufwe amesema kuwa Halamshauri ya wilaya ya Handeni ni ya pili kati ya Halmashuri kumi na moja kwa mkoa wa Tanga na kuwa na 88.18% vya viashiria vya lishe hivyo wataendelea kutoa elimu kwa jamii na kuhimiza wazazi wawape watoto wao lishe bora.

 Pia Bw. Makufwe amesema  Halmashauri ya Wilaya ya Handeni inawajali watu waishio na Virusi vya UKIMWI na imekuwa Halmashauri ya kwanza kati ya kumi na moja zilizopo  mkoa wa Tanga kwa kuwajali na kuwapa elimu nasihi watu waishio na virusi vya UKIMWI.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Toba Nguvila akiahirisha wiki ya unyonyeshaji mkoa wa Tanga.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni Bw. William Makufwe akisoma taarifa ya lishe ya Halmashauri ya Handeni.Wananchi waliojitokeza kwenye zoezi la kuahirisha wiki ya unyonyeshaji mkoa wa Tanga.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa