• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa wilaya ya Handeni azindua mpango wa kusajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa.

Imerushwa: August 11th, 2020

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Toba Nguvila azindua mpango wa serikali wa kutambua na kuwapa vyeti vya kuzaliwa watoto walio na umri chini ya miaka mitano na kuipongeza Serikali na Wakala wa usajili, ufilisi na udhamini (RITA) kwa mpango huu wa kusajili na kutoa vyeti kwa watoto walio chini ya miaka mitano bure.

Mh. Nguvila amesema kuwa usajili wa watoto na kuwapa  vyeti vya kuzaliwa ni muhimu kwani itasaidia kutambua idadi ya watoto, kubuni na kupanga mipango mbalimbali ya serikali ya maendeleo na mahitaji ya watoto pia husaidia kupata ajira na kuandaa hati za kusafiria.

Amewakumbusha wahusika waweze kutembea nyumba hadi nyumba sio kukaa ofisini tu na kwenda kufanyakazi kwa weledi na kwa kutenda haki pia ameahidi kufuatilia zoezi hili kijiji hadi kijiji ili kuona namna zoezi linavyotekelezwa.

Kwakuhitimisha  Mhe. Toba Nguvila ametoa zawadi ya jezi seti mbili na mpira mmoja kwa vijana wa komkonga.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw. William Makufwe ameishukuru Serikali ya awamu ya tano kwa kusajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto walio chini ya miaka mitano bure kwani upatikanaji wa vyeti vya kuzaliwa ni changamoto kubwa kwasababu ya mfumo na sheria za usajili kupitwa na wakati.

Kwakumalizia Bw. Makufwe amesema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni imepanga kusajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto walio chini ya miaka mitano kwa asilimia mia moja (100%)  na kuhakikisha watumishi walio kwenye zoezi la usajili kutembea nyumba hadi nyumba kwaajili ya kutoa huduma.

Mkuu wa wilaya ya Handeni Mhe. Toba Nguvila aliyesimama akiwasalimia wananchi waliojitokeza kwenye uzinduzi huo.

Mh. Toba Nguvila kulia mweyekofia ya kahawia akikabidhi jezi na mpira kwa mweneyekiti wa kijiji cha Komkonga.

 Katibu tawala wa wilaya ya Handeni Mhe. Mashaka Mgeta aliyevaa shati jeupe akiwasalimia wananchi waliojitokeza kwenye uzinduzi wa mpango huo.Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni Bw. William Makufwe aliyeshika karatasi akisoma taarifa ya upatikani wa vyeti kwa Halmashauri ya Handeni.Viongozi wa Wilaya wakishiriki kuchenza ngoma ya kizingua. Mganga mkuu wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni Dkt. Ipyana Mwandelile katikati aliyevaa koti akisikiliza maelekezo ya  Mkuu wa Wilaya ya Handeni.

Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye uzinduzi huo.


Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa