• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Msando akabidhiwa Ofisi.

Imerushwa: January 30th, 2023

 Akizungumza kwenye makabidhiano ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni Ndugu Siriel Mchembe amewashukuru viongozi wa Kitaifa, Mkoa na Wilaya pamoja na wananchi wa Handeni  walivyoshirikiana katika kuijenga Wilaya ya Handeni na kufanikiwa kufika hapo ilipo tangu yeye alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kumwamini katika kipindi chote alichokuwa katika nafasi ya ukuu wa Wilaya ya Handeni.

Akitaja baadhi ya Miradi na miundombinu ambayo imefanikiwa katika kipindi chake ni pamoja na kusimamia upatikanaji wa maji kwenye Wilaya ya Handeni,ujenzi wa barabara,ujenzi wa vituo vya Afya,ujenzi wa madarasa pamoja na utekelezaji wa ilani ya dira ya kitaifa ya Maendeleo.

Pia Ndg. Mchembe ametumia nafasi hiyo kuwaaga madiwani, watumishi pamoja na wananchi wote wa Handeni na kuwaomba kumpa ushirikiano mkubwa Mkuu wa Wilaya mpya ili awaletee maendeleo wananchi wa Handeni.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Albert Msando amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassani kwa kuendelea kumwamini na kumteuwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Handeni na kuahidi kutoa ushirikiano kwa viongozi wote wa Wilaya ya Handeni na wananchi kwa ujumla ili waweze kufikia malengo ya Kitaifa katika ujenzi Taifa.

Mhe. Msando amesema kuwa anataka kupitia mikataba yote ya miradi ya 2023 ifike ofisini ili kuona imeanza lini na inaisha lini,lengo ni kujua thamani ya pesa kwenye miradi inayotekelezwa kwenye Wilaya ya  Handeni.

Mkuu wa Wilaya anachukizwa na watu wanaoeleta mazoea kwenye kazi na anakerwa sana na tabia za kuchunguzana na kuripotiana vibaya kwenye kazi na kusema kuwa wenye kazi hiyo wapo.Yeye anapendezwa na wanaofanya kazi  kwa weledi pia amesema  kuwa mifumo ikafanye kazi kila mtu kwa nafasi yake awajibike kuanzia kwenye kitongoji hadi ngazi ya Halmashauri na kero za wananchi zote zitatuliwe.

Tangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KWAAJILI YA KAZI YA SENSA 2022 July 18, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Hifadhi za Misitu

    March 29, 2023
  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Misitu

    March 29, 2023
  • Mapungufu Haya yawe fursa ya kutatua changamoto

    March 16, 2023
  • Waziri Mkuu akabidhi Mradi wa Msomera kwa Halmashauri

    March 07, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile:

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa