• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Naibu Katibu Mkuu atembelea Msomera

Imerushwa: February 1st, 2023

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Bw. Amon Mpanju ametembelea Kijiji  cha Msomera kwa lengo la kufuatilia na kukagua maendeleo ya uboreshaji wa huduma za ustawi wa jamii na kuamsha ari ya jamii katika kushiriki shughuli za maendeleio ya miradi inayotekelezwa na Serikali katika kijij cha Msomera na kuongea na wananchi.

Miradi hiyo iliyotembelewa na Naibu Katibu Mkuu ni pamoja na ujenzi wa kituo cha Afya Msomera, kituo cha polisi Msomera, shule ya Msingi Samia Suluhu Hassan, Shule ya sekon dari Msomera na mradi wa visima vya maji.

Bw. Mpanju amesema kuwa Serikali itaendelea kutoa mikopo kwa makundi mbalimbali kwa wananchi wa Msomera hivyo wao kama wizara watapeleka maafisa maendeleo ya jamii 12 kwenye Halamashuri ya Handeni hususani kwenye Kijiji cha Msomera ili waweze kusaidian na waliopo kutoa elimu ya ujasiliamali kwa lengo la kujikwamua kiuchumi.

Naibu katibu Mkuu amesisistiza wananchi wa Msomera kuwatoa Watoto wao kwenda shule kwani elimu ndiyo mkombozi wa maendeleo na Serikali inajenga miundombinu bora ya shule ili watoto wa Msomera waende shule.

Ameongeza kusema kuwa Serikali inayonia ya kuhakikisha Msomera inabadirika kwa kuwa na huduma zinzohitaijka na wananchi washirikiane  kuwalea watoto kwenye misingi ya maadili bora za mila zetu kwani malezi mazuri yanaanzia nyumbani.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Albert Msando amesema kuwa Serikali ya Dkt. Samia Suluhu Hassaniu ni Sikivu kwani yale yote yaliyopangwa kutekelezwa Msomera yametekelezwa kwa wakati na imeshaanza kutoa huduma kwa jamii na kuwa Kijiji cha Mfano.

Mhe. Msando amesema kuwa watatenga  maeneo maalum kwa ajili ya kuandaa mashamba darasa ili wananchi wa Msomera waweze kujifunza kwa vitendo na amemuhakikishia naibu katibu Mkuu kuwa Wilaya itasimamaia utekelezaji wa miradi yote ya maendeleo  na kutatua kero pamoja na  changamoto zote za wananchi wa Handeni kwa wakati.

Bw. Amon Mpanju Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum

Bw. Amon Mpanju Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, kulia aliyeshika fimbo, akisikiliza taarifa ya ujenzi wa majosho kutoka kwa afisa Mifugo katikati

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mhe. Albert Msando

Tangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KWAAJILI YA KAZI YA SENSA 2022 July 18, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Hifadhi za Misitu

    March 29, 2023
  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Misitu

    March 29, 2023
  • Mapungufu Haya yawe fursa ya kutatua changamoto

    March 16, 2023
  • Waziri Mkuu akabidhi Mradi wa Msomera kwa Halmashauri

    March 07, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile:

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa