• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Timu ya Menejimenti ya Halmashauri yafanya ukaguzi wa Miradi ya UVIKO-19

Imerushwa: November 20th, 2021

Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni (CMT) imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwenye Halmashauri ya Handeni.

Mwenyekiti wa timu ya Menejimenti hiyo Bw. Saitoti Zelothe Stephane ameongoza wajumbe wa timu hiyo amabao ni wakuu wa Idara na vitengo kukagua miradi ya Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO-19 unaotekeleza ujenzi wa vyumba vya madarasa.

Halmashauri ya Wilaya ya Handeni imepokea kiasi cha bilioni 1.44 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 72 vya madarasa kwa shule za Sekondari na Kiasi cha milioni 380 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 19 za shule za Msingi shikizi. Katika utekelezaji wa Mpango huo Halmashauri ya Wilaya ya Handeni wameupa jina mpango huo kuwa kazi iendelee program.

Katika ziara hiyo timu ya Menejimenti imeridhishwa na ujenzi wa Madarasa hayo na imejipanga kikamilifu kusimamia miradi yote kwa kuzingatia ubora, muda wa utekelezaji na nidhamu katika utekelezaji wa ujenzi wa madarasa hayo na kwa sasa ujenzi wa madarasa hayo yako hatua ya lenta na upauaji.

Mkurugenzi Mtendaji Bw. Saitoti Zelothe Stephen akimwagilia maji kwenye jamvi,Shule ya Sekondari Pangambili alipoogoza CMT kukagua miradi.

Mhandishi  John Mshahara wa Halmashauri ya Handeni, kushoto akitoa maelekezo kwa Mwalimu mkuu wa Shule ya Sekondari Kwaludege.

Afisa Mipango, Uchumi na Ufuatiliani Bw. Japhet Machumu, kulia akichanganya udongo kwaajili ya ujenzi wa madarasa shule ya Sekondari Kwamgwe.

Muonekano wa ujenzi wa madarasa ya Shule ya Sekondari Segera

Muonekano wa Jengo la madarasa Shule ya Sekondari Pangambili leo tarehe 20/11/2021

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa