• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

VIONGOZI WA JAMII NA WATOA HUDUMA YA AFYA YA MSINGI WAPEWA SEMINA KUHUSU SARATANI YA MATITI.

Imerushwa: October 24th, 2025

VIONGOZI WA JAMII NA WATOA HUDUMA YA AFYA YA MSINGI WAPEWA SEMINA KUHUSU SARATANI YA MATITI

Viongozi wa jamii pamoja na watoa huduma ya afya ya msingi katika ngazi ya jamii kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, wamepatiwa semina maalumu kuhusu Saratani ya Matiti.

Akifungua semina hiyo, Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Dkt. Kisaka Kachua, alisema mafunzo hayo yatasaidia watoa huduma kupeleka elimu kwa jamii, kuhamasisha uchunguzi wa mapema, na kubadilisha mitindo ya maisha ili kujikinga na saratani.

“Lengo letu ni kuhakikisha wananchi wanapata elimu sahihi, wanajitokeza mapema vituoni, na kuchunguzwa viashiria vya saratani ili kupata tiba kwa wakati,” alisema Dkt. Kachua.

Kwa upande wake, Mratibu wa Uhamasishaji na Uelimishaji wa Afya Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Bi. Elizabert Shengovi, alisisitiza umuhimu wa wanawake na wanaume kwenda kupima mara kwa mara ili kugundua viashiria vya saratani katika hatua za awali.

“Uchunguzi wa mapema unarahisisha kugundua ugonjwa katika hatua za mwanzo na hivyo kuanza matibabu mapema,” alisema Bi. Shengovi.

Aidha, mdau wa maendeleo, Arnold Japiego, alisema uelewa wa jamii kuhusu uchunguzi wa mapema utasaidia kupunguza vifo vinavyosababishwa na Saratani ya Matiti.

Semina hiyo inatarajia kuongeza mwamko kwa wananchi wa Handeni kujitokeza kwa wingi kupima saratani ya matiti, hatua itakayosaidia kupunguza maambukizi na vifo vitokanavyo na ugonjwa huo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI September 03, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA JAMII NA WATOA HUDUMA YA AFYA YA MSINGI WAPEWA SEMINA KUHUSU SARATANI YA MATITI.

    October 24, 2025
  • KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025, MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA NCHINI AWAFUNDA VYAMA VYA SIASA HANDENI

    September 15, 2025
  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa