• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WANANCHI WAHAMASISHWE KULIMA MAZAO YA BIASHARA KUINUA UCHUMI WA HALMASHAURI NA WANANCHI WENYEWE.

Imerushwa: February 18th, 2018

Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Handeni limekubaliana kwa pamoja kuhamasisha wananchi kulima mazao ya biashara ambayo ni  Muhogo , korosho,  pamba na Katani Ili kuinua uchumi wa Halmashauri.

 Makubaliano hayo yamefanyika kwenye kikao cha baraza la madiwani kilichofanyika tarehe 15-16/2/2018 Kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni. 

 Akizungumza na waheshimiwa Madiwani Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Mh.Ramadhani Diliwa alisema kuwa lazima wananchi wahimizwe kulima mazao mbadala sio kung'ang'ania mahindi wakati ardhi ya Handeni inakubali mazao mengine ambayo yataimarisha uchumi wa Jamii nzima. 


  Aliongeza kuwa Halmashauri imejipanga kuleta mapinduzi hivyo kila mmoja awajibike kwenye eneo lake kuhakikisha malengo yanafikiwa kwani kuna miche 10000 ambayo tayari imeandaliwa na fedha kwaajili ya kununua mbegu nyingine imetengwa tayari. 

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Bw William Makufwe alisema kuwa Halmashauri inataka walau kwa kuanzia  kuwa na ekari 1000 Za zao la korosho ambapo Kata ambazo zitachangamkia fursa zitakuwa za Kwanza kupatiwa mbegu kwani uhakika wa mbegu upo.

 Aidha alishauri kwa watu ambao wanauwezo wa kununua mbegu waweze kununua kwani hazina gharama kiasi cha kushindwa kununua ili kuleta mabadiliko na mwitikio mzuri kama ambavyo wananchi walivyoitikia kwenye zao la Muhogo.

Image may contain: 2 people, people sitting

Wa Kwanza Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji Bw William Makufwe, katikati ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Mh. Ramadhani Diliwa akifiatiwa na Makamu Mwenyekiti Mh Abdalla Pendeza

Image may contain: one or more people, people sitting and indoor

Wataalamu na Waheshimiwa Madiwani wakiwa kwenye kikao cha baraza ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  Image may contain: 5 people, people sitting, table and indoor

Waheshimiwa Madiwani

  Image may contain: one or more people, people sitting and indoor

Baraza likiendelea.









Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa