• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WATUMISHI WATANO WALIOKUWA WAMEKAIMU WATHIBITISHWA KUWA WAKUU WA IDARA NA VITENGO NA BARAZA LA MADIWANI

Imerushwa: June 14th, 2017

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Handeni limeridhia na kuwapitisha watumishi watano kuwa wakuu wa Idara na Vitengo baada ya kuridhishwa na utendaji wao wa kazi.

Lidhaa hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni, Ramadhani Diliwa katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya wilaya Handeni hivi karibuni.

Diliwa alisema kuwa Baraza lake limetathmini kazi za watumishi hao watano na kuridhishwa na utendaji wao wa kazi na kufikia maamuzi ya kuwapitisha kuwa wakuu wa Idara na Vitengo. Aliwataja watumishi hao na nafasi zao katika mabano kuwa ni Mosses Chilla (Mkuu wa Idara ya Takwimu, Mipango na Ufuatiliaji), Fikeni Senzige (Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi), Julius Omary (Mkuu wa Idara ya Ujenzi na zimamoto), Saturine Kessy (Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani) na Mussa Kimwaga (Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi). Aidha, Napoleone Mlowe aliidhinishwa kuwa Kaimu Mkuu wa Idara ya Ardhi na Maliasili.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Handeni alisema kuwa umefika wakati wao kuthibitisha kuwa Baraza la Madiwani halijakosea kuwateu katika nyadhifa hizo kwa kufanya kazi kwa weledi mkubwa. “Fanyeni kazi kwa weledi kuonesha kuwa Baraza limefanya maamuzi sahihi, pale mnapohitaji ushauri msisite kushirikisha wenzenu” alisema Diliwa.

MOSSES CHILLA (MKUU WA IDARA YA MIPANGO,UCHUMI NA UFUATILIAJI)

FIKENI SENZIGE (MKUU WA IDARA YA ELIMU MSINGI)

JULIUS OMARY (MKUU WA IDARA YA UJENZI)

SATURINE KESSY (MKUU WA KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI)

MUSSA KIMWAGA (MKUU WA KITENGO CHA MANUNUZI)

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa