• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAZEE HALMASHAURI YA HANDENI KUPATIWA KADI YA UZEE KITAMBULISHO CHA HUDUMA ZA AFYA BURE

Imerushwa: November 24th, 2017

Wazee wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni wamepatiwa kadi ya utambulisho wa waze na kuhamasishwa kujiandikisha kwaajili ya kupata kadi hizo ili kuweza kupata huduma ya matibabu bure kwa wazee.

 Mkuu wa  Wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe  ametoa rai hiyo  jana kwenye ofisi ya Kata ya Kamsisis na kuwapa utaratibu wa namna watakavyoweza kupata vitambulisho kwaajili ya utambulisho wao pindi watakapokwenda kwenye vituo vinavyotoa huduma za  afya kwaajili ya matibabu.


 Mh. Gondwe alisema kuwa ni dhamira kuu ya Mh. Rais  kuona waze wote wenye umri kuanzia miaka 60 wa Tanzania wanapata huduma za matibabu bure na kwamba Halmashauri ya Wilaya ya Handeni imejipanga kuhakikisha wazee wote waliopo kwenye Halmashauri wananfikiwa na kupata huduma za matibabu buree.

 “Kadi ya utambulisho wa mzee itakusaidia kupata huduma za afya bure na haraka, wazee wetu ni wa thamani na mmelitumikia taifa hili vyema, ni jukumu letu kuhakikisha mnapata huduma bora za afya, wazee wengine ambao hamjajitokeza kupiga picha mjitokeze ili muweze kupata vitambulisho”Alisema Mkuu wa Wilaya.

 Kwaupande wake  Kaimu Mkurugenzi Bi.Edna Katailaya aliwataka viongozi wa Vijiji kuhakikisha wanahamasisha wananchi kuchangia ghara za laki mbili kila kijiji kwaajili ya kufidia gharama zao kwenye vituo vya afya kama Uongozi wa Halmashauri ulivyoelekeza awali.

 Aidha,kutokana na gharama kubwa za huduma za matibabu Halmashauri ya Wilaya ya Handeni iliweka utaratibu wa kila Kijiji kuchangia gharama za laki mbili (200,000) kwaaajili ya kufidia gharama za matibabu bure kwa wazee kwa kipindi cha mwaka  mzima yaani Januari-Desemba kutokana na ufinyu wa bajeti uliopo.

 Jumla ya wazee 782 wa Tarafa ya Kwamasisi inayojumisha Kata ya Kwamsisi na Kwasunga wamepatiwa kadi za utambulizho wa wazee,zoezi hilo linaendelea kwenye maeneo yote ya Halmashuri ya Wilaya ya Handeni.


Image may contain: 10 people, people smiling, people standing, crowd, tree, wedding and outdoor

Mkuu wa Wilaya ya Handeni kizungumza na wazee wa Kwamsisi.

Image may contain: 7 people, people smiling, people standing and outdoor

utoaji wa kadi ukiendelea.

Image may contain: 8 people, people standing, crowd and outdoor

mmoja wa wazee akikabidhiwa kadi na Mkuu wa Wiaya.

  Image may contain: 13 people, people smiling, people standing and outdoor

mmoja wa wazee akikabidhiwa kadi na Mkuu wa Wilaya.

Kaimu Mkurugenzi Bi.Edna Katalaiya akizungumza na wazee  wa Kwamsisi juu ya umuhimu wa vijiji kuchangia fedha ya fidia kwa matibabu ya wazee.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni akizungumza na wazee wa Kwamsisi Faida za kuw na kadi ya utambulisho wa wazee

baadhi ya wazee wa Kwamsisi waliofika kupatiwa kadi zao


Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe akizungumza na mmoja wa wazee wakati wa uhamasishaji Kata ya Kabuku.

Tangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA WALIOFAULU USAILI KATIKA NAFASI ZA MWENDESHAJI WA KIFAA CHA BAYOMETRIKI NA AFISA MWANDIKISHAJI MSAIDIZI February 20, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa