• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

WAZEE ZAIDI YA 2000 KATA YA KABUKU HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI WAPATIWA KADI ZA UTAMBULISHO WA WAZEE KWAAJILI YA KUPATA HUDUMA ZA MATIBABU BURE.

Imerushwa: January 10th, 2018

Wazee  zaidi ya 2000 wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Kata ya Kabuku wamepatiwa kadi ya utambulisho wa wazee kwa awamu ya pili  ili kuweza kupata huduma ya matibabu bure kwa wazee.

 Mkuu wa  Wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe  ametoa kadi hizo kwa wazee  jana wakati akizindua zoezi hilo kwa awamu ya pili na kuwasisitiza wazee kumripoti mtu yeyote atakayeonekana ni kikwazo kwa kupata huduma kwenye vituo vinavyotoa huduma za afya pamoja na kuwa na kadi ya utambulisho wa wazee.

  Amewataka viongozi ngazi ya Tarafa ,Kata na Vijiji kusimamia utoaji wa fedha kiasi cha laki mbili (200,000)  zinazotolewa na Serikali za  Vijiji kwa mwaka kwaajili ya kuchangia huduma za matibabu bure kwa wazee.

 Zoezi la utoaji wa kadi za  utambulisho kwa wazee ulianza Novemba 23mwaka2017 ambapo Halmashauri imelenga kutoa kadi hizo kwa wazee 1717 wa Halmashauri ya Wilya ya Handeni.

Image may contain: 8 people, people standing, crowd and outdoor

Baadhi ya wazee wa Kata ya Kabuku waliojitokeza kupokea kadi za utambulisho wa wazee

Image may contain: 1 person, standing and outdoor 

  Image may contain: 3 people, people standing and outdoor

Mh.Diwani Kata ya Kabuku Amina Mnegero akitoa kadi ya utambulisho wa mzee kwa mmoja wa wazee

Image may contain: 11 people, people smiling, people standing

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh.Godwin Gondwe akizinduz zoezi kwa kutoa kadi ya utambulisho wa wazee kwa mmoja wa wazee.

  Image may contain: 7 people, people smiling, people standing and wedding


Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HANDENI DC June 04, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • HANDENI DC IMEFANYA KIKAO CHA BARAZA KWA ROBO YA NNE YA MWAKA 2023/2024

    August 12, 2024
  • WANAWAKE HANDENI WAMPONGEZI DKT. SAMIA

    August 09, 2024
  • ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA TANGANYIKA

    August 06, 2024
  • KUPITIA MAPATO YA NDANI, HANDENI IMETEKELEZEKA MIRADI KEDEKEDE

    October 23, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amalizia ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kwedikwazu Mashariki.
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa