• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Elimu, Afya na Maendeleo ya Jamii
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ujenzi, Uchumi na Mazingira
      • Kamati ya Mfuko wa Jimbo
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Waziri Mkuu akabidhi Mradi wa Msomera kwa Halmashauri

Imerushwa: March 7th, 2023

Kijiji cha Msomera kitakuwa ni Kijiji  cha mfano kwa ufugaji wa kisasa na wa kibiashara kwahiyo ni lazima tuweke utaratibu wa kufanya lionekane ni eneo la ufugaji wa kisasa.

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa ametoa kauli hiyo wakati akikabidhi mradi maalumu wa makazi ya Kijiji cha Msomera kwa Halmashauri ya Handeni na Kilindi ili kusimamia na kuingiza kwenye bajeti za Halmashuri hizo na kupeleka huduma mbalimbali kwenye eneo hilo la mradi na kuleta maendeleo ya wananchi wa eneo hilo.

Ameziagiza Halmashauri za Handeni na Kilindi zinapoandaa bajeti zao kwa ajili ya mwaka wa fedha ujao zihakikishe zinazingatia mahitaji ya uendelezaji wa huduma kwenye Kijiji cha Msomera ili kuimarisha ustawi wa jamii wa  Msomera.

Kijiji cha Msomera kimepokea wananchi waliohama kwa hiari kutoka hifadhi ya Ngorongoro ili kulinda uoto wa asili katika eneo hilo.Mara baada ya Kuwasili kwenye Kijiji hicho wananchi hao walipewa nyumba za kuishi kwenye eneo lenye ukubwa wa hekari 2.5 na eneo la hekari 5 kwa ajili ya kilimo.

Aidha Mhe. Majaliwa amewataka viongozi wanaofanya ziara kwenye Kijiji cha Msomera wahakikishe wanaanzia kwenye  ofisi ya Mkuu wa Wilaya na kujitambulisha rasmi ndipo wapatiwe maafisa wa kuongozana nao.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Handeni Mhe. Mussa Mwanyumbu amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa maamuzi ya busara aliyofanya ya kuijenga Msomera na kuweka miundombinu ambayo inawasaidia wananchi wa Handeni na ameupokea mradi huo kwa mikono miwili na kuahidi kuutunza na miundombinu kwa ajili ya maendeleo ya Handeni inaboreshwa.

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mhe. Albert Msando  Mkuu wa Wilaya ya Handeni (Watatu kutoka kulia, mstari wa mbele)

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni Mhe. Mussa Mwanyumbu.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Handeni Bw. Saitoti Stephen (Aliyevaa suti nyekundu)

Tangazo

  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI KWAAJILI YA KAZI YA SENSA 2022 July 18, 2022
  • Tangazo la Kuitwa kwenye Mafunzo ya Sensa kwa Mwaka 2022 July 27, 2022
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Hifadhi za Misitu

    March 29, 2023
  • Mkuu wa Wilaya akagua maeneo ya Misitu

    March 29, 2023
  • Mapungufu Haya yawe fursa ya kutatua changamoto

    March 16, 2023
  • Waziri Mkuu akabidhi Mradi wa Msomera kwa Halmashauri

    March 07, 2023
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile:

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa