• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua pepe |
Handeni District Council
Handeni District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii na Vijana
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mazingira na Udhibiti taka ngumu
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ardhi na Maliasili
    • Kilimo Umwagiliaji na Mifugo
    • Viwanda na Biashara
    • Utamaduni na Utalii
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
    • Kilimo
    • Elimu
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi na Mipango
      • Elimu, Afya na Maji
      • Kamati ya UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya vikao vya Kisheria
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Jarida la Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

Waziri Mkuu akagua ujenzi wa Nyumba.

Imerushwa: March 13th, 2022


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa  Majaliwa amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa nyumba zinazojengwa kwenye kijiji cha Msomela Kata ya Misima kwa ajili ya wakazi watakaohama kwa hiari kutoka kwenye hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro.

Mhe. Majaliwa amesema hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro inatambulika kama eneo moja wapo la maajabu ya dunia na  limeipa heshima kubwa Tanzania na kuipatia Serikali mapato mengi kupitia utalii hivyo lazima ilindwe na kutunzwa kwani ongezeko la watu kwenye hifadhi hiyo linasababisha kupotea kwa  maliasili zilizopo kwenye hifadhi hiyo.

Aidha Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa ameseama kuwa Serikali itahakikisha haki zote za binadamu zinazingatiwa katika zoezi hilo la kuwahamisha wananchi kutoka kwenye hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro kwenda kwenye maeneo maalum yaliyotengwa kwaajili yao ambayo ni pamoja na makazi yaliyopo kwenye kijiji cha Msomela.

Kwakumalizia Waziri Mkuu amemuagiza Mkuu wa Mkao wa Tanga kukutana na viongozi wa vijiji na wananchi wa eneo la mradi huo ili kuendelea kuwaelimisha kuhusu zoezi hilo na umuhimu wake kwa maendeleo ya Taifa.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mhe. Kassim Majaliwa (watatu kutoka kulia) akikagua ujenzi wa nyumba. 

Nyumba zinazojengwa kwa ajili ya wananchi wanaohama kutoka kwenye hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro.

Wananchi mbalimbali waliojitokeza kumsikiliza Waziri Mkuu katika kijiji cha Msomela.

Tangazo

  • FOMU ZA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2022 KWASHULE ZA SEKONDARI HANDENI VIJIJINI May 16, 2022
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Waziri Mkuu akagua ujenzi wa Nyumba.

    March 13, 2022
  • Kamati ya Ushauri ya Wilaya yafanya Kikao Maalum

    February 16, 2022
  • Mkuu wa Wilaya akabidhi Pikipiki.

    January 20, 2022
  • Handeni yafanya kikao cha baraza la wafakazinyakazi

    January 18, 2022
  • Angalia zote

Video za Shughuli za Ofisi au Kitaifa

ALIYOZUNGUMZA MKIMBIZA MWENGE KITAIFA MARA BAADA YA KUFUNGUA BOHARI NDOGO YA DAWA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • TASAF
  • Fursa za Uwekezaji

Kurasa Mashuhuri

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Watumishi Portal
  • Tume ya Ajira
  • Ikulu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Handeni

    Postal Address: 355 Handeni

    Telephone: 0272977402

    Mobile: 0759760156

    Email: ded@handenidc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya Handeni . Haki zote zimehifadhiwa